• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
Mkoa wa Morogoro
Mkoa wa Morogoro

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Morogoro

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Maelezo ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Sehemu na Vitengo
      • Utawala na Rasilimali
      • Serikali za Mitaa
      • Uhasibu na Fedha
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Sheria
      • TEHAMA
      • Afya
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Kitengo cha Habari na Mawasiliano Serikalini
  • Wilaya
    • Morogoro
    • Mvomero
    • Gairo
    • Kilosa
    • Kilombero
    • Ulanga
    • Malinyi
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Morogoro
    • Morogoro DC
    • Mvomero
    • Gairo
    • Ulanga
    • Malinyi
    • Mlimba
    • Ifakara Mji
    • Kilosa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uchimbaji wa Madini
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
    • Huduma za Ugavi
  • Machapisho
    • Miongozo Mbalimbali
    • Majarida
    • Fomu Mbalimbali
    • Ripoti mbalimbali
    • Mpango Mkakati
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Videos
    • Hotuba
    • Picha

RC Shigela ataka wananchi kutunza miradi ya TIF.

Posted on: September 1st, 2021

Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Martine Shigela amewataka wananchi Mkoani humo kutunza na kusimamia vizuri miradi yote inayotekelezwa na Taasisi ya Kiislam (The Islamic Foundation - TIF)  ili kujenga ustawi imara wa jamii ya watanzania.

Shigela ametoa agizo hilo Agosti 31 mwaka huu alipotembelea miradi mbalimbali inayotoa huduma za kijamii katika Halmashauri ya Manispaa ya Morogoro na kuridhishwa na kazi nzuri inayofanywa na taasisi  hiyo.

Amesema wananchi wa Mkoa huo wanatakiwa kutambua mchango mkubwa unaotolewa na taasisi hiyo bila malipo yoyote na kuisimamia ipasavyo kwa manufaa ya watanzania kwa jumla.

Aidha, Shigela ametembelea miradi mitano inayosimamiwa na taasisi hiyo ikiwemo Shule ya Sekondari ya Forest, Kituo cha Afya cha  Msamvu, Ujenzi wa bomba la maji Shule ya Msingi Msamvu A, Kituo cha watoto yatima na ujenzi wa Msikiti utakaoghalimu zaidi ya Shilingi Bil. 5 za kitanzania,

‘’Natoa pongezi kubwa kwa Mwenyekiti wa The Islamic Foundation, ndugu yangu Aref Nahdi kwa maono chanya aliyonayo kwa wananchi wa Morogoro na Tanzania kwa ujumla, miradi hii inawajenga kiimani na kiroho katika kuachana na matukio ya kihalifu’’ amesema Shigela.

Kwa upande wake Mwenyekiti wa TIF Aref Nahdi amempongeza Shigela kwa kuitikia wito wa kutembelea miradi hiyo na kumuahidi kuendelea kujenga miradi mingine ya kijamii katika Mkoa wa Morogoro ikiwemo kutoa madawati kwa ajili ya wanafunzi wa Shule ya Msing Msamvu A.

Sambamba na hayo, Nahdi amebainisha kuwa TIF ni taasisi ya kwanza Afrika kwa kufanya vizuri katika utoaji misaada katika jamii na ya tatu ulimwenguni kutokana na ukaribu wanaoujenga baina ya taasisi hiyo na viongozi wa Serikali.

Kwa upande wake Mwakilishi kutoka MORUWASA Victor Ngoyi, ameiomba TIF kuwafikishia maji wananchi sehemu ambazo hawajafika hususan maeneo ya pembezoni ili kuondoa kero ya upatikanaji wa maji wanayoipata wananchi.

MWISHO.

Matangazo

  • MATOKEO YA DARASA LA SABA 2024 October 30, 2024
  • View All

Habari Mpya

  • RC MALIMA AKEMEA ULANGUZI WA MAZAO.

    May 08, 2025
  • WAAJIRI MOROGORO WATAKIWA KUTATUA CHANGAMOTO ZA WAFANYA KAZI WAO.

    May 01, 2025
  • SERIKALI KUJENGA BARABARA YA LUPILO – MALINYI KWA KIWANGO CHA LAMI, Bil. 18 ZATOLEWA KUJENGA MADARAJA MAWILI.

    April 25, 2025
  • MWENGE WA UHURU 2025 WATAJA TUNU NNE ZA TAIFA.

    April 19, 2025
  • View All

Video

Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Mhe. Adam Kighoma Malima akikagua ujenzi wa jengo la ofisi mpya ya Mkuu wa Mkoa.
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Maelezo ya Mkoa
  • Tangazo la Zabuni
  • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
  • Hotuba
  • Taarifa kwa Umma

Kurasa Mashuhuri

  • Tovuti ya Tanzania
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • TAMISEMI
  • Ikulu
  • Katibu Mkuu Kiongozi
  • Tovuti ya Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Morogoro

    Sanduku la Posta: S.L.P 650 MOROGORO

    Simu: +2550232934305

    Simu: +255766828252

    Barua pepe: ras.morogoro@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2024 Ofisi Ya Mkuu wa Mkoa Morogoro. Haki Zote Zimehifadhiwa.