• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
Mkoa wa Morogoro
Mkoa wa Morogoro

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Morogoro

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Maelezo ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Sehemu na Vitengo
      • Utawala na Rasilimali
      • Serikali za Mitaa
      • Uhasibu na Fedha
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Sheria
      • TEHAMA
      • Afya
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Kitengo cha Habari na Mawasiliano Serikalini
  • Wilaya
    • Morogoro
    • Mvomero
    • Gairo
    • Kilosa
    • Kilombero
    • Ulanga
    • Malinyi
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Morogoro
    • Morogoro DC
    • Mvomero
    • Gairo
    • Ulanga
    • Malinyi
    • Mlimba
    • Ifakara Mji
    • Kilosa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uchimbaji wa Madini
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
    • Huduma za Ugavi
  • Machapisho
    • Miongozo Mbalimbali
    • Majarida
    • Fomu Mbalimbali
    • Ripoti mbalimbali
    • Mpango Mkakati
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Videos
    • Hotuba
    • Picha

RC SHIGELA AWAPONGEZA WATENDAJI WILAYA NA HALMASHAURI MANISPAA YA MOROGORO.

Posted on: May 20th, 2022

Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Martine Shigela amewapongeza Viongozi wa Wilaya na Halmashauri ya Manispaa ya Morogoro kwa Mshikamano mzuri katika utekelezaji wa Miradi ya Kimaendeleo kwenye Halmashauri ya Manispaa hiyo.


Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Martine Shigela akikagua Jengo la Wagonjwa wa Dharura lililopo katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa huo wakati wa Ziara yake ya Kikazi iliyofanyika Mei 18 Mwaka huu.




Martine Shigela ameyasema hayo Mei 18 Mwaka huu wakati wa Ziara yake ya Kikazi ya Kukagua Miradi ya Maendeleo katika Halmashauri hiyo ikiwemo kukagua matumizi bora ya fedha za Mapato ya ndani na zile za Serikali Kuu za Miradi Mbalimbali ya maendeleo katika Halmashauri hiyo.





Mkuu huyo wa Mkoa amebainisha kuwa amefarijika kuona utekelezaji wa maagizo ya kamati ya Bunge ya kila Halmashauri yenye mapato makubwa kujenga kituo kimoja cha Afya na madarasa kadhaa ili kuinua Shule za msingi unaendelea vizuri ikiwemo ukamilishaji wa miradi hiyo katika kata za Tungi na Lukobe katika Manispaa hiyo.


“Kwa hiyo mimi nimefurahi kuona kwamba Maagizo ya Kamati sasa tunajenga kituo cha Afya tayari milioni 250 zimekwishaletwa hapa kupitia mapato yenu ya ndani, nawapongeza kwa hilo” amesema Shigela.

“Lakini nimefarijika zaidi kuona kwamba katika Mapato yenu ya ndani nje ya kujenga Kituo kimoja cha Afya mmekamilisha ujenzi wa Zahanati sita na Madarasa 53 ambapo kati ya hayo yalitokana na mapato ya ndani ni 45, hayo ndio mambo ninayotaka kuyaona katika Manispaa hii” ameongeza Shigela.

Katika hatu nyingine Martine Shigela amemuelekeza Mkurugenzi Halmashauri ya Manispaa ya Morogoro na Msimamizi wa mradi wa Ujenzi wa Kituo cha Afya cha Lukobe kinachojengwa kutokana na fedha za tozo Tsh. 1.2Bil. kumsimamia vema Mkandarasi wa Ujenzi huo ili kukamilisha ujenzi huo kabla au ifikapo June 30 Mwaka huu.







Kwa upande wake Meya wa Halmashauri hiyo Mhe. Paschal Kihanga amebainisha kuwa Miradi ya Elimu na Afya iliyokamilika na inayoenda kukamilika inakabiliwa na changamoto ya uhaba wa watumishi kulingana na kada husika hivyo, amemuomba Mkuu wa Mkoa kushughulikia changamoto hiyo ili wananchi waweze kuhudumiwa kikamilifu.



Naye Diwani wa Kata ya Lukobe Mhe. Celestine Mbilinyi ameishukuru Serikali inayoongozwa na Mhe. Samia Suluhu Hassan Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kutoa fedha za ujenzi wa Kituo hicho ili kusogeza huduma hiyo karibu na wananchi wa eneo hilo.




Hadi sasa kiasi cha Shilingi milioni 250 zimekwishapelekwa kituoni hapo kwa ajili ya kuharakisha ujenzi huo wa kituo nhicho ambacho umefikia asilimia 75% ya kazi hiyio.


MWISHO

Matangazo

  • MATOKEO YA DARASA LA SABA 2024 October 30, 2024
  • View All

Habari Mpya

  • RC MALIMA AKEMEA ULANGUZI WA MAZAO.

    May 08, 2025
  • WAAJIRI MOROGORO WATAKIWA KUTATUA CHANGAMOTO ZA WAFANYA KAZI WAO.

    May 01, 2025
  • SERIKALI KUJENGA BARABARA YA LUPILO – MALINYI KWA KIWANGO CHA LAMI, Bil. 18 ZATOLEWA KUJENGA MADARAJA MAWILI.

    April 25, 2025
  • MWENGE WA UHURU 2025 WATAJA TUNU NNE ZA TAIFA.

    April 19, 2025
  • View All

Video

Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Mhe. Adam Kighoma Malima akikagua ujenzi wa jengo la ofisi mpya ya Mkuu wa Mkoa.
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Maelezo ya Mkoa
  • Tangazo la Zabuni
  • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
  • Hotuba
  • Taarifa kwa Umma

Kurasa Mashuhuri

  • Tovuti ya Tanzania
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • TAMISEMI
  • Ikulu
  • Katibu Mkuu Kiongozi
  • Tovuti ya Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Morogoro

    Sanduku la Posta: S.L.P 650 MOROGORO

    Simu: +2550232934305

    Simu: +255766828252

    Barua pepe: ras.morogoro@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2024 Ofisi Ya Mkuu wa Mkoa Morogoro. Haki Zote Zimehifadhiwa.