• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
Mkoa wa Morogoro
Mkoa wa Morogoro

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Morogoro

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Maelezo ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Sehemu na Vitengo
      • Utawala na Rasilimali
      • Serikali za Mitaa
      • Uhasibu na Fedha
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Sheria
      • TEHAMA
      • Afya
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Kitengo cha Habari na Mawasiliano Serikalini
  • Wilaya
    • Morogoro
    • Mvomero
    • Gairo
    • Kilosa
    • Kilombero
    • Ulanga
    • Malinyi
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Morogoro
    • Morogoro DC
    • Mvomero
    • Gairo
    • Ulanga
    • Malinyi
    • Mlimba
    • Ifakara Mji
    • Kilosa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uchimbaji wa Madini
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
    • Huduma za Ugavi
  • Machapisho
    • Miongozo Mbalimbali
    • Majarida
    • Fomu Mbalimbali
    • Ripoti mbalimbali
    • Mpango Mkakati
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Videos
    • Hotuba
    • Picha

RCMalima achukua hatua kuirejesha Mtibwa Sugar.

Posted on: November 20th, 2023


Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Mhe. Adam Kighoma Ali Malima ameitaka timu ya Mtibwa Sugar kuongeza juhudi katika ligi kuu ya Tanzania bara (NBC premier league) ili kusalia katika ligi hiyo kwani ina wachezaji wazoefu, mahili na wenye nidhamu huku akihimiza umoja na ushirikiano ndani  ya timu hiyo.

Mhe. Malima amesema hayo alipoitembelea timu hiyo iliyopo Wilayani Mvomero akiwa na lengo la kutatua changamoto zinazoikabili na kuongeza hamasa ya mchezo wa mpira wa miguu Mkoani Morogoro.

Aidha, Mkuu huyo wa Mkoa amebainisha kuwa yeye akiwa kama mlezi wa timu hiyo ameamua kuchukua hatua za mapema ili kuinusuru timu kubaki ligi kuu msimu wa 2023/2024 na kwamba hatoifumbia macho timu hiyo ikifanya vibaya kwani ndio timu pekee inayoshiriki ligi kuu Mkoani Morogoro.

"... sasa ukishakuwa mlezi wa timu maana yake haiwezekani mambo yakawa yanaharibika nawe unayaangalia tu, tumekubaliana tufanye tathmini ya sasa ya Mtibwa tumeshabaini vitu vingi sana ambavyo vitarekebishwa na kuirejesha timu nafasi nzuri..."

Pia, Mhe. Adam Malima amesikitishwa na timu hiyo kushika nafasi ya mwisho kati ya timu 16 zinazoshiriki ligi kuu ya Tanzania bara kwani amesema ina wachezaji wazuri na wazoefu wa mashindano hayo, hivyo ziara ya kiongozi huyo itakuwa na tija katika kuinusuru timu hiyo.

Katika hatua nyingine, Mhe. Malima ameuagiza uongozi wa Mtibwa Sugsr kuwa na uongozi imara na wenye ushirikiano baina ya benchi la ufundi sambamba na wachezaji kwa manufaa ya timu yenyewe na Mkoa kwa ujumla.

Kwa upande wake, Mwenyekiti wa Chama Cha Mpira wa Miguu Mkoa wa Morogoro Mhe. Pascal Kihanga amesema Mkoa wa Morogoro una timu moja inayocheza ligi kuu ambayo ni Mtibwa Sugar na kukiri kwamba timu hiyo ipo katika hali mbaya misimu mitatu mfululizo hivyo Viongozi wamechukua hatua za mapema katika kutafuta ufumbuzi wa changamoto zinazoikabili timu hiyo.


Naye Kocha Mkuu wa Timu ya Mtibwa Sugar Zuber Katwila kwa niaba ya benchi la ufundi amesema timu hiyo ipo katika mapambano ya kutafuta alama 12-14 muhimu katika mzunguko wa kwanza ili kujiweka katika nafasi nzuri na kumshukuru Mkuu huyo wa Mkoa kwa kuhamasisha na kuchagiza maendeleo ya timu hiyo ambayo ndio timu pekee Mkoani Morogoro.

Mwisho

Matangazo

  • MATOKEO YA DARASA LA SABA 2024 October 30, 2024
  • TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI. May 13, 2025
  • View All

Habari Mpya

  • MSEMAJI MKUU WA SERIKALI AWATAKA MAAFISA HABARI KUFANYA KAZI ZAO KIMKAKATI.

    May 26, 2025
  • MWAROBAINI WA CHANGAMOTO YA MAJI MOROGORO HII HAPA, RC MALIMA ATOA MAAGIZO.

    May 24, 2025
  • UZALISHAJI WA MAZIWA KUCHANGIA BIL. 18 KWA MWAKA MOROGORO

    May 23, 2025
  • MAAFISA HABARI TOENI UFAFANUZI DHIDI YA UPOTOSHAJI- MCHENGERWA

    May 23, 2025
  • View All

Video

Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Mhe. Adam Kighoma Malima akikagua ujenzi wa jengo la ofisi mpya ya Mkuu wa Mkoa.
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Maelezo ya Mkoa
  • Tangazo la Zabuni
  • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
  • Hotuba
  • Taarifa kwa Umma

Kurasa Mashuhuri

  • Tovuti ya Tanzania
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • TAMISEMI
  • Ikulu
  • Katibu Mkuu Kiongozi
  • Tovuti ya Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Morogoro

    Sanduku la Posta: S.L.P 650 MOROGORO

    Simu: +2550232934305

    Simu: +255766828252

    Barua pepe: ras.morogoro@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2024 Ofisi Ya Mkuu wa Mkoa Morogoro. Haki Zote Zimehifadhiwa.