• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
Mkoa wa Morogoro
Mkoa wa Morogoro

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Morogoro

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Maelezo ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Sehemu na Vitengo
      • Utawala na Rasilimali
      • Serikali za Mitaa
      • Uhasibu na Fedha
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Sheria
      • TEHAMA
      • Afya
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Kitengo cha Habari na Mawasiliano Serikalini
  • Wilaya
    • Morogoro
    • Mvomero
    • Gairo
    • Kilosa
    • Kilombero
    • Ulanga
    • Malinyi
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Morogoro
    • Morogoro DC
    • Mvomero
    • Gairo
    • Ulanga
    • Malinyi
    • Mlimba
    • Ifakara Mji
    • Kilosa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uchimbaji wa Madini
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
    • Huduma za Ugavi
  • Machapisho
    • Miongozo Mbalimbali
    • Majarida
    • Fomu Mbalimbali
    • Ripoti mbalimbali
    • Mpango Mkakati
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Videos
    • Hotuba
    • Picha

SERIKALI MKOANI MOROGORO KUTOA USHIRIKIANO KWA GYMKHANA KLABU.

Posted on: June 14th, 2024



Serikali Mkoa Morogoro kupitia Ofisi ya Mkuu wa Mkoa huo inayoongozwa na  Mhe. Adam Kighoma Malima imetoa ahadi kwa Gymkhana Klabu ya morogoro kuwa itatoa ushirikiano mkubwa  katika kuandaa mashindano yajayo ya gofu ili kuweza kuvutia wageni wengi zaidi na kuongeza thamani ya mchezo huo katika Mkoa huo.

Ahadi hiyo imetolewa na Mhe. Malima  Juni 14, 2024 wakati akifungua rasmi mashindano  ya Alliance one  Morogoro Open Golfu 2024 ambayo yanafanyika ndani ya siku tatu kuanzia Juni 14 hadi 16 mwaka  huu katika viwanja ya Gymkhana vilivyopo Halmashauri ya Manispaa ya Morogoro.

Mkuu huyo wa Mkoa amesema kupitia ufunguzi wa mashindano hayo yanaenda kuwa chachu ya kuwavutia wageni wengi kwa sababu ya uwepo wa mazingira mazuri ya hali ya hewa na uwanja mzuri wa kuchezea mchezo huo pia wageni hao baada ya kucheza mchezo huo wanaweza kwenda kutembelea vivutio vya utalii vikiwemo mbuga za wanyama, kuangalia maporomoko ya maji na vivutio vingine.

".... Ahadi yangu kwenu ni kwamba Ofisi ya Mkuu wa Mkoa itaenda kushirikiana na Gymkhana na wadau wote ili kufanya mashindano yajayo yawe makubwa zaidi kuliko haya...." Amesema Adam Malima.

Kwa upande wake Dickson Sika Mwenyekiti wa Morogoro Gymkhana Club amesema  timu zote kutoka Tanzania na Nje ya Tanzania zimejitokeza kwa wingi katika mashindano hayo ambazo zikiwemo timu za watoto kutoka Kambi ya Jeshi Lugalo, timu ya Gymkhana Morogoro na timu kutoka TPC Moshi.

Matangazo

  • MATOKEO YA DARASA LA SABA 2024 October 30, 2024
  • TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI. May 13, 2025
  • View All

Habari Mpya

  • Zaidi ya Mil. 125 zachangwa kupitia chakula cha hisani kukarabati Hospitali ya Rufaa Morogoro.

    May 18, 2025
  • RC MALIMA ASHIRIKI MATEMBEZI YA HISANI, ASEMA HOSPITALI YA RUFAA INAHIMILI WAGONJWA.

    May 17, 2025
  • VYAMA VYA SIASA NCHINI VYATAHADHARISHWA

    May 15, 2025
  • RC MALIMA ATAKA VYAMA VYA USHIRIKA VYA WAFUGAJI

    May 15, 2025
  • View All

Video

Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Mhe. Adam Kighoma Malima akikagua ujenzi wa jengo la ofisi mpya ya Mkuu wa Mkoa.
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Maelezo ya Mkoa
  • Tangazo la Zabuni
  • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
  • Hotuba
  • Taarifa kwa Umma

Kurasa Mashuhuri

  • Tovuti ya Tanzania
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • TAMISEMI
  • Ikulu
  • Katibu Mkuu Kiongozi
  • Tovuti ya Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Morogoro

    Sanduku la Posta: S.L.P 650 MOROGORO

    Simu: +2550232934305

    Simu: +255766828252

    Barua pepe: ras.morogoro@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2024 Ofisi Ya Mkuu wa Mkoa Morogoro. Haki Zote Zimehifadhiwa.