• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
Mkoa wa Morogoro
Mkoa wa Morogoro

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Morogoro

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Maelezo ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Sehemu na Vitengo
      • Utawala na Rasilimali
      • Serikali za Mitaa
      • Uhasibu na Fedha
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Sheria
      • TEHAMA
      • Afya
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Kitengo cha Habari na Mawasiliano Serikalini
  • Wilaya
    • Morogoro
    • Mvomero
    • Gairo
    • Kilosa
    • Kilombero
    • Ulanga
    • Malinyi
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Morogoro
    • Morogoro DC
    • Mvomero
    • Gairo
    • Ulanga
    • Malinyi
    • Mlimba
    • Ifakara Mji
    • Kilosa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uchimbaji wa Madini
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
    • Huduma za Ugavi
  • Machapisho
    • Miongozo Mbalimbali
    • Majarida
    • Fomu Mbalimbali
    • Ripoti mbalimbali
    • Mpango Mkakati
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Videos
    • Hotuba
    • Picha

SERIKALI YAAHIDI MISAADA MLIMBA

Posted on: April 11th, 2024

SERIKALI YAAHIDI KUPELEKA MISAADA KWA WAATHIRIKA WA MAFURIKO MLIMBA MKOANI MOROGORO

Serikali ya awamu ya sita inayoongozwa na Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan imeahidi kuwapelekea misaada mbalimbali ikiwemo chakula Pamoja na kutengeneza miundombinu ya Barabara waathirika wa mafuriko wa Mlimba Wilayani Kilombero Mkoani Morogoro.

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Sera Bunge na Uratibu Mhe. Jenista Mhagama (kushoto) akiwasili katika Kijiji cha Mlimba B

Ahadi hiyo imetolewa leo Aprili 11, 2024 na Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, na Uratibu) Mhe. Jenista Mhagama alipofika katika Wilaya hiyo na kutembelea Kijiji cha Mlimba B ambacho kilikumbwa na mafuriko hayo hivi karibuni.

Waziri Mhagama akiongea na wananchi wa Mlimba B, Aprili, 11, 2024

Akiongea na wananchi wa Kijiji cha Mlimba B, Waziri Mhagama amesema Serikali itaendelea kushirikiana na wananchi hao katika kukabiliana na mafuriko yanayoendelea kutokea kufuatia mvua za El nino zinazoendelea kunyesha  hapa nchini.

“Serikali itahakikisha huduma za Barabara, madaraja, Maji, Umeme, Mbegu, chakula na Afya zinapatikana mapema na kwa ufanisi” ameahidi Mhe. Mhagama.

Wananchi wa Mlimba B, Wilayani Kilombero Mkoani Morogoro

Mawaziri waliofuatana na Waziri Mhagama kwenye ziara ya kutembelea wananchi wa Mlimba B walioathiriwa na mafuriko

Mkuu wa Wilaya ya Kilombero Mhe. Dunstan Kyobya ndiye alikuwa mwenyeji wa ugeni huo ndani ya Wilaya yake

Ziara ya Waziri Jenista Mhagama ni mwendelezo wa ziara aliyoianza jana Aprili 10,2024 katika Wilaya za Kibiti na Rufiji Mkoani Pwani ikiwa na lengo la kuona athari za mafuriko yanayotokea hapa nchini na namna ya kukabiliana nayo lakini pia kufikisha Salam za Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa waathirika wa mafuriko hayo.

Mbunge wa Jimbo la Mlimba Mhe. Godwin Kunambi akiongea mara alipopewa fursa ya kuwasalimia wapiga kura wake

Katika Ziara hiyo Mhe. Jenista Mhagama aliambatana na Mawaziri wengine watatu Pamoja na Manaibu Mawaziri sita, Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu Dkt. Jim Yonazi na  Makatibu Wakuu wa Wizara tajwa Pamoja na Manaibu Makatibu Wakuu.

MWISHO

 

Matangazo

  • MATOKEO YA DARASA LA SABA 2024 October 30, 2024
  • TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI. May 13, 2025
  • View All

Habari Mpya

  • MSEMAJI MKUU WA SERIKALI AWATAKA MAAFISA HABARI KUFANYA KAZI ZAO KIMKAKATI.

    May 26, 2025
  • MWAROBAINI WA CHANGAMOTO YA MAJI MOROGORO HII HAPA, RC MALIMA ATOA MAAGIZO.

    May 24, 2025
  • UZALISHAJI WA MAZIWA KUCHANGIA BIL. 18 KWA MWAKA MOROGORO

    May 23, 2025
  • MAAFISA HABARI TOENI UFAFANUZI DHIDI YA UPOTOSHAJI- MCHENGERWA

    May 23, 2025
  • View All

Video

Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Mhe. Adam Kighoma Malima akikagua ujenzi wa jengo la ofisi mpya ya Mkuu wa Mkoa.
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Maelezo ya Mkoa
  • Tangazo la Zabuni
  • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
  • Hotuba
  • Taarifa kwa Umma

Kurasa Mashuhuri

  • Tovuti ya Tanzania
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • TAMISEMI
  • Ikulu
  • Katibu Mkuu Kiongozi
  • Tovuti ya Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Morogoro

    Sanduku la Posta: S.L.P 650 MOROGORO

    Simu: +2550232934305

    Simu: +255766828252

    Barua pepe: ras.morogoro@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2024 Ofisi Ya Mkuu wa Mkoa Morogoro. Haki Zote Zimehifadhiwa.