• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
Mkoa wa Morogoro
Mkoa wa Morogoro

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Morogoro

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Maelezo ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Sehemu na Vitengo
      • Utawala na Rasilimali
      • Serikali za Mitaa
      • Uhasibu na Fedha
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Sheria
      • TEHAMA
      • Afya
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Kitengo cha Habari na Mawasiliano Serikalini
  • Wilaya
    • Morogoro
    • Mvomero
    • Gairo
    • Kilosa
    • Kilombero
    • Ulanga
    • Malinyi
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Morogoro
    • Morogoro DC
    • Mvomero
    • Gairo
    • Ulanga
    • Malinyi
    • Mlimba
    • Ifakara Mji
    • Kilosa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uchimbaji wa Madini
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
    • Huduma za Ugavi
  • Machapisho
    • Miongozo Mbalimbali
    • Majarida
    • Fomu Mbalimbali
    • Ripoti mbalimbali
    • Mpango Mkakati
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Videos
    • Hotuba
    • Picha

SERIKALI YAJIPANGA KUKABILIANA NA VIKOPE.

Posted on: May 7th, 2021

Serikali Mkoani Morogoro imeweka mpango mkakati wa  kutoa Elimu kwa wananchi ili kukabiliana na ugonjwa wa vikope {Trachoma} utakaonusuru zaidi ya watu 800 katika Halmashauri za Morogoro na Gairo.

Hayo yamebainishwa May 7, 2021 na Meneja Mpango wa kudhibiti magonjwa yasiyopewa kipaumbele kutoka Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Dr. George Kabona wakati wa hafla ya kuzindua mpamgo wa kutokomeza ugonjwa huo na kukabidhi vifaa tiba na dawa vitakavyotumika wakati wa uchunguzi na upasuaji wa macho kwa waathirika wa ugonjwa huo, iliyofanyika katika ukumbi wa CATE HOTEL katika Manispaa ya Morogoro.

Dr. Kabona amesema mpango wa taifa ni kutoa Elimu na kuhamasisha jamii kuhusu mabadiliko ya tabia ya nchi  ili jamii kujikinga na magonjwa yasiyopewa kipaumbele ikiwepo ugonjwa wa Vikope.

‘’Tunapanga kuimarisha mkakati huu kwa nguvu zetu zote katika upande wa kufanya upasuaji, usafishaji wa vikope, lakini pia kunawa uso, kurahisisha upatikanaji wa maji, kuboresha mazingira na usafi wa mwili kwa ujumla tunaamini tukifanikiwa eneo hilo tutakuwa tumefikia malengo yetu ya kutokomeza ugonjwa wa Vikope’’ amesema Dr. George.

Kwa upande wake Katibu Tawala wa Mkoa wa Morogoro Mhandisi Emmanuel Kalobelo amesema matibabu ya ugonjwa wa Vikope yatatolewa bure kwa waathirika hao huku akiwasisitiza wananchi kuzingatia usafi wa mazingira ili kujikinga na wadudu waenezao ugonjwa huo.

Aidha, Mhandisi Kalobelo ametoa rai kwa wananchi na viongozi watakaoshiriki kutoa matibabu ya ugonjwa huo, kuwashirikisha viongozi katika maeneo husika wakiwemo wenyeviti wa Vijiji, vitongozi na viongozi wa kaya ili kupata mafanikio ya utekelezaji wa mradi huo.

Naye, Mkuu wa Wilaya ya Gairo Mhe. SirielMchembe na Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Morogoro Bi. Rehema Bwasi wamesema mradi huo wa Sight Saver utasaidia wananchi wa Wilaya hizo kupata matibabu kwa haraka na kuondoa au kupunguza ugonjwa huo katika maeneo yao.


MWISHO.

Matangazo

  • MATOKEO YA DARASA LA SABA 2024 October 30, 2024
  • TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI. May 13, 2025
  • View All

Habari Mpya

  • Zaidi ya Mil. 125 zachangwa kupitia chakula cha hisani kukarabati Hospitali ya Rufaa Morogoro.

    May 18, 2025
  • RC MALIMA ASHIRIKI MATEMBEZI YA HISANI, ASEMA HOSPITALI YA RUFAA INAHIMILI WAGONJWA.

    May 17, 2025
  • VYAMA VYA SIASA NCHINI VYATAHADHARISHWA

    May 15, 2025
  • RC MALIMA ATAKA VYAMA VYA USHIRIKA VYA WAFUGAJI

    May 15, 2025
  • View All

Video

Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Mhe. Adam Kighoma Malima akikagua ujenzi wa jengo la ofisi mpya ya Mkuu wa Mkoa.
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Maelezo ya Mkoa
  • Tangazo la Zabuni
  • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
  • Hotuba
  • Taarifa kwa Umma

Kurasa Mashuhuri

  • Tovuti ya Tanzania
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • TAMISEMI
  • Ikulu
  • Katibu Mkuu Kiongozi
  • Tovuti ya Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Morogoro

    Sanduku la Posta: S.L.P 650 MOROGORO

    Simu: +2550232934305

    Simu: +255766828252

    Barua pepe: ras.morogoro@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2024 Ofisi Ya Mkuu wa Mkoa Morogoro. Haki Zote Zimehifadhiwa.