• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
Mkoa wa Morogoro
Mkoa wa Morogoro

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Morogoro

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Maelezo ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Sehemu na Vitengo
      • Utawala na Rasilimali
      • Serikali za Mitaa
      • Uhasibu na Fedha
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Sheria
      • TEHAMA
      • Afya
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Kitengo cha Habari na Mawasiliano Serikalini
  • Wilaya
    • Morogoro
    • Mvomero
    • Gairo
    • Kilosa
    • Kilombero
    • Ulanga
    • Malinyi
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Morogoro
    • Morogoro DC
    • Mvomero
    • Gairo
    • Ulanga
    • Malinyi
    • Mlimba
    • Ifakara Mji
    • Kilosa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uchimbaji wa Madini
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
    • Huduma za Ugavi
  • Machapisho
    • Miongozo Mbalimbali
    • Majarida
    • Fomu Mbalimbali
    • Ripoti mbalimbali
    • Mpango Mkakati
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Videos
    • Hotuba
    • Picha

SHIGELA AZIFUNDA TAASISI ZA KISERIKALI KUTUMIA MAONESHO YA TANO KUJIFUNZA

Posted on: May 9th, 2022

RC SHIGELA AAGIZA TAASISZA ZA KISERIKALI KUJIFUNZA UWEZESHAJI KUPITIA MAONESHO YA TANO YANAYOENDELEA MOROGORO

Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Martine Shigela ameziagiza Taasisi za Kiserikali Mkoani humo kushiriki na kujifunza mambo mbalimbali ya Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi kupitia maonesho ya Mifuko ya Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi yanayoendelea Mkoani humo.



Martine Shigela ametoa agizo hilo leo Mei 9 mwaka huu kwa Katibu Tawala wa Mkoa wa Morogoro (RAS) wakati akifungua Maonesho hayo ya tano yanayofanyika katika viwanja vya Jamhuri katika Halmashauri ya Manispaa ya Morogoro.



Aidha, Mkuu huyo wa Mkoa amesema ni lazima kwa Taasisi za Serikali kutenga muda na kwenda kujifunza katika Maonesho hayo ili kujua ni kwa namna gani Wananchi wanaowaongoza wananufaika na Mifuko hiyo ya Uwezeshaji Kiuchumi.



“Lakini kwa Mkoa Katibu Tawala uko hapa, Wataalamu wetu wanaohusika na hizi Sekta ambazo ziko hapa za Uwezeshaji iwe ni Uzalishaji ambako wewe mwenyewe ndio Inchaji wa Sekta zinazohusika na Uzalishaji iwe ni Viwanda, iwe ni Kilimo, Misitu, Maliasili, Uvuvi na Mifugo lazima tutenge muda wa kuja kujifunza ili tujue namna gani Wananchi wananufaika na hii Mifuko, tujue wapi imetekelezwa ndani ya Mkoa wetu”. Amesema Mkuu wa Mkoa Martine Shigela.

Katika hatua nyingine Martine Shigela ameiagiza Mifuko ya Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi kuwasaidia Wakulima wadogo ili waweze kuinuka Kiuchumi kwa lengo la kuleta tija kwa mwananchi mmoja mmoja na Taifa kwa ujumla hasa katika kukuza pato la Taifa.





Kwa upande wake Mkuu wa Wilaya ya Morogoro Albart Msando ametoa wito kwa Madiwani wote wa Halmashauri ya Manispaa ya Morogoro kuhudhuri maonesho hayo na kujifunza kuhusu Mifuko hiyo namna inavyofanya kazi na jinsi Wananchi wananufaika moja kwa moja na mifuko hiyo ya Uwezeshaji.




Katibu Mtendaji wa Baraza la Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi Bi. Beng’i Issa amebainisha kuwa hadi kufikia Mwezi Machi Mwaka huu Mifuko hiyo ya Uwezeshaji imefanikisha Mikopo na ruzuku ya zaidi Shilingi trilioni 5.38 kwa Wajasilismsli zaidi ya milioni 8 wakiwemo wanawake milioni 4.5.




Akiweka wazi changamoto zinazowapata wakulima wadogo Mtendaji Mkuu wa Mfuko wa Kuchochea Kilimo Tanzania Bw. John Kyaruzi amaesema changamoto kubwa kwa wakulima hao ni kukosa mitaji ya kutosha, riba kubwa katika mabenki na ukosefu wa masoko ya mazao yatokanayo na kilimo hapa nchini hivyo,mfuko wa TACTS uko tayari kutatua kero hizo.


 



MWISHO.

Matangazo

  • MATOKEO YA DARASA LA SABA 2024 October 30, 2024
  • View All

Habari Mpya

  • RC MALIMA AKEMEA ULANGUZI WA MAZAO.

    May 08, 2025
  • WAAJIRI MOROGORO WATAKIWA KUTATUA CHANGAMOTO ZA WAFANYA KAZI WAO.

    May 01, 2025
  • SERIKALI KUJENGA BARABARA YA LUPILO – MALINYI KWA KIWANGO CHA LAMI, Bil. 18 ZATOLEWA KUJENGA MADARAJA MAWILI.

    April 25, 2025
  • MWENGE WA UHURU 2025 WATAJA TUNU NNE ZA TAIFA.

    April 19, 2025
  • View All

Video

Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Mhe. Adam Kighoma Malima akikagua ujenzi wa jengo la ofisi mpya ya Mkuu wa Mkoa.
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Maelezo ya Mkoa
  • Tangazo la Zabuni
  • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
  • Hotuba
  • Taarifa kwa Umma

Kurasa Mashuhuri

  • Tovuti ya Tanzania
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • TAMISEMI
  • Ikulu
  • Katibu Mkuu Kiongozi
  • Tovuti ya Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Morogoro

    Sanduku la Posta: S.L.P 650 MOROGORO

    Simu: +2550232934305

    Simu: +255766828252

    Barua pepe: ras.morogoro@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2024 Ofisi Ya Mkuu wa Mkoa Morogoro. Haki Zote Zimehifadhiwa.