• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
Mkoa wa Morogoro
Mkoa wa Morogoro

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Morogoro

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Maelezo ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Sehemu na Vitengo
      • Utawala na Rasilimali
      • Serikali za Mitaa
      • Uhasibu na Fedha
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Sheria
      • TEHAMA
      • Afya
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Kitengo cha Habari na Mawasiliano Serikalini
  • Wilaya
    • Morogoro
    • Mvomero
    • Gairo
    • Kilosa
    • Kilombero
    • Ulanga
    • Malinyi
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Morogoro
    • Morogoro DC
    • Mvomero
    • Gairo
    • Ulanga
    • Malinyi
    • Mlimba
    • Ifakara Mji
    • Kilosa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uchimbaji wa Madini
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
    • Huduma za Ugavi
  • Machapisho
    • Miongozo Mbalimbali
    • Majarida
    • Fomu Mbalimbali
    • Ripoti mbalimbali
    • Mpango Mkakati
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Videos
    • Hotuba
    • Picha

TARURA YATOA MAFUNZO KWA WAANDISHI WA HABARI MOROGORO

Posted on: February 25th, 2022

TARURA YATOA MAFUNZO KWA WAANDISHI WA HABARI MOROGORO

Wakala wa Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA) imetoa mafunzo kwa waandishi wa Habari juu ya ukusanyaji wa mapato yatokanayo na maegesho ya vyombo vya moto vya usafiri wa nchi kavu kwa kutumia mfumo mpya wa kielektroniki ambao kwa Mkoa wa Morogoro unagtarajiwa kutumika kuanzania Mwezi Machi Mosi mwaka huu.

Kikao hicho ambacho kimefanyika Februari 22 mwaka huu katika ukumbi wa Ofisi za TARURA Mkoa uliopo mkabala na standi ya zamani ya mabasi madogo (Hice) ya Mjini Morogoro katika Halmashauri ya Manispaa Morogoro kimelenga zaidi kuwaelimisha waandishi wa habari juu ya kanuni na taratibu zitakazotumika mara utaratibu huo mpya utakapoanza.

Akiongea na waandishi wa habari kwa niaba ya Mwanasheria TARURA Bw. Shaban Mdagano, Bi. Tausi Madebo ambaye pia ni mwanasheria Mkoa wa Morogoro  amesema ameeleza umuhim wa Waandishi wa Habari kuzijua baadhi ya kanuni zinazoendana na mfumo huo ili waweze kuuelimisha umma na kuzifuata kikamilifu.

Bi Tausi amezitaja baadhi ya kanuni zinazotakiwa waandishi wa Habari na wananchi kuzijua ni pamoja na Mteja kutakiwa kulipa ushuru wa maegesho aliyofanya ndani ya siku 14. Mteja anayeshindwa/anayekataa kulipa USHURU huo wa maegesho kwa kipindi hicho atatakiwa kulipa faini ya shilingi 10,000/=  pamoja na ushuru wa maegesho aliotakiwa kulipa. 

Ameendelea kufafanua kuwa Mteja huyo endapo atashindwa kulipa faini hiyo, lakini akakubali kosa lake atatakiwa kujaza fomu maalum ya kufifilisha kosa hilo na kutakiwa kulipa faini ya shilingi 30,000/=  na endapo hatokubali kosa hilo na kujaza fomu hiyo atatakiwa kufikishwa mahakamani ambako huko akithibitika ana kosa atalazimika kulipa fani ya shilingi 300,000/= au kifungo cha miezi kumi na mbili au vyote kwa pamoja.

Hadi Sasa mfumo huu umeanza kutumika katika Mikoa mitano hapa nchini ambayo ni pamoja na Mkoa wa Mwanza, Shinyanga, Singida, Dodoma, na Mkoa wa Dar es Salaam.

MWISHO

  

Matangazo

  • MATOKEO YA DARASA LA SABA 2024 October 30, 2024
  • View All

Habari Mpya

  • RC MALIMA AKEMEA ULANGUZI WA MAZAO.

    May 08, 2025
  • WAAJIRI MOROGORO WATAKIWA KUTATUA CHANGAMOTO ZA WAFANYA KAZI WAO.

    May 01, 2025
  • SERIKALI KUJENGA BARABARA YA LUPILO – MALINYI KWA KIWANGO CHA LAMI, Bil. 18 ZATOLEWA KUJENGA MADARAJA MAWILI.

    April 25, 2025
  • MWENGE WA UHURU 2025 WATAJA TUNU NNE ZA TAIFA.

    April 19, 2025
  • View All

Video

Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Mhe. Adam Kighoma Malima akikagua ujenzi wa jengo la ofisi mpya ya Mkuu wa Mkoa.
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Maelezo ya Mkoa
  • Tangazo la Zabuni
  • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
  • Hotuba
  • Taarifa kwa Umma

Kurasa Mashuhuri

  • Tovuti ya Tanzania
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • TAMISEMI
  • Ikulu
  • Katibu Mkuu Kiongozi
  • Tovuti ya Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Morogoro

    Sanduku la Posta: S.L.P 650 MOROGORO

    Simu: +2550232934305

    Simu: +255766828252

    Barua pepe: ras.morogoro@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2024 Ofisi Ya Mkuu wa Mkoa Morogoro. Haki Zote Zimehifadhiwa.