• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
Mkoa wa Morogoro
Mkoa wa Morogoro

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Morogoro

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Maelezo ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Sehemu na Vitengo
      • Utawala na Rasilimali
      • Serikali za Mitaa
      • Uhasibu na Fedha
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Sheria
      • TEHAMA
      • Afya
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Kitengo cha Habari na Mawasiliano Serikalini
  • Wilaya
    • Morogoro
    • Mvomero
    • Gairo
    • Kilosa
    • Kilombero
    • Ulanga
    • Malinyi
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Morogoro
    • Morogoro DC
    • Mvomero
    • Gairo
    • Ulanga
    • Malinyi
    • Mlimba
    • Ifakara Mji
    • Kilosa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uchimbaji wa Madini
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
    • Huduma za Ugavi
  • Machapisho
    • Miongozo Mbalimbali
    • Majarida
    • Fomu Mbalimbali
    • Ripoti mbalimbali
    • Mpango Mkakati
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Videos
    • Hotuba
    • Picha

TIMU YA SOKA YA RAS MOROGORO TISHIO MASHINDANO YA SHIMIWI

Posted on: October 21st, 2021

Timu ya soka ya RAS Morogoro yaididimiza  Viwanda.

Ikiwa ni siku ya pili tangu michezo ya SHIMIWI kuanza kutimua vumbi Mkoani Morogoro, timu ya soka ‘RAS Morogoro’  imeonesha kiwango bora cha mchezo wake na kuibuka kidedea kwa kuibugiza timu  ya Wizara ya Viwanda na Biashara  mabao 3 – 1 mchezo uliochezwa katika uwanja wa Jamhuri wa Mjini Morogoro.

Mashindano hayo ya SHIMIWI ambayo yanaonekana kuanza kupata msisimko zaidi yameendelea leo huku miamba watatu wakipimana ubavu ikiwemo timu ya RAS Morogoro.

Katika mchezo wa kwanza timu ya RAS Morogoro imeididimiza timu ya Wizara ya Viwanda na Biashara mabao hayo na kupelekea timu hiyo kunyakua alama zote tatu huku ikijiwekea mazingira mazuri kwenye msiamamo wa kundi lake, kundi A lenye timu tano ambazo ni Maliasili, Mahakama, Viwanda, Kilimo na wenyeji RAS Morogoro.

Mabao hayo yote matatu (Hat – trick) ya timu ya RAS Morogoro yamewekwa kimiani na Said Chijana ambaye ni kiungo mshambuliaji ambapo bao la kwanza lilipatikana kwa njia ya penati katika kipindi cha kwanza na mabao mawili yakifungwa kwa ustadi mkubwa.

Kesho Oktoba 22 wenyeji hao wanatarajia kucheza mchezo wao wa pili dhidi ya timu ya Mahakama, nayo timu ya Kilimo itachuana na timu ya Maliasili.

Mechi nyingine zilizochezwa leo Oktoba 21 ni TAMISEMI dhidi ya RAS Dar es Salaam ambapo TAMISEMI imeibuka na ushindi wa magoli mawili kwa sufuri, huku timu ya RAS Mara ikiisambaratisha timu ya NFRA kwa matokeo ambayo hadi mwandishi wa  habari hizi anaondoka uwanjani hapo tayari NFRA ilikuwa imepokea kichapo cha magoli saba kwa nunge.

Kipa huyu balaa, unene wake usikutishe

Licha ya mashindano hayo ya SHIMIWI kuendelea kufana Mkoani humo, zoezi la utoaji chanjo ya UVIKO – 19 nalo liliendelea kufanyika ndani ya Uwanja wa Jamhuri kwa ajili ya kuendeleza mapambano dhidi ya ugonjwa huo.

Viongozi wa Kamati ya michezo ya SHIMIWI kutoka RAS Morogoro Mwl. Musa Mnyeti na Grace Njau wakiteta jambo mara baada ya mechi 

MWISHO.

Matangazo

  • MATOKEO YA DARASA LA SABA 2024 October 30, 2024
  • View All

Habari Mpya

  • RC MALIMA AKEMEA ULANGUZI WA MAZAO.

    May 08, 2025
  • WAAJIRI MOROGORO WATAKIWA KUTATUA CHANGAMOTO ZA WAFANYA KAZI WAO.

    May 01, 2025
  • SERIKALI KUJENGA BARABARA YA LUPILO – MALINYI KWA KIWANGO CHA LAMI, Bil. 18 ZATOLEWA KUJENGA MADARAJA MAWILI.

    April 25, 2025
  • MWENGE WA UHURU 2025 WATAJA TUNU NNE ZA TAIFA.

    April 19, 2025
  • View All

Video

Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Mhe. Adam Kighoma Malima akikagua ujenzi wa jengo la ofisi mpya ya Mkuu wa Mkoa.
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Maelezo ya Mkoa
  • Tangazo la Zabuni
  • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
  • Hotuba
  • Taarifa kwa Umma

Kurasa Mashuhuri

  • Tovuti ya Tanzania
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • TAMISEMI
  • Ikulu
  • Katibu Mkuu Kiongozi
  • Tovuti ya Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Morogoro

    Sanduku la Posta: S.L.P 650 MOROGORO

    Simu: +2550232934305

    Simu: +255766828252

    Barua pepe: ras.morogoro@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2024 Ofisi Ya Mkuu wa Mkoa Morogoro. Haki Zote Zimehifadhiwa.