• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
Mkoa wa Morogoro
Mkoa wa Morogoro

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Morogoro

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Maelezo ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Sehemu na Vitengo
      • Utawala na Rasilimali
      • Serikali za Mitaa
      • Uhasibu na Fedha
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Sheria
      • TEHAMA
      • Afya
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Kitengo cha Habari na Mawasiliano Serikalini
  • Wilaya
    • Morogoro
    • Mvomero
    • Gairo
    • Kilosa
    • Kilombero
    • Ulanga
    • Malinyi
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Morogoro
    • Morogoro DC
    • Mvomero
    • Gairo
    • Ulanga
    • Malinyi
    • Mlimba
    • Ifakara Mji
    • Kilosa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uchimbaji wa Madini
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
    • Huduma za Ugavi
  • Machapisho
    • Miongozo Mbalimbali
    • Majarida
    • Fomu Mbalimbali
    • Ripoti mbalimbali
    • Mpango Mkakati
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Videos
    • Hotuba
    • Picha

TUME YA HAKI JINAI YAKUTANA NA VYOMBO VYA ULINZI NA USALAMA MKOANI MOROGORO

Posted on: March 10th, 2023


Mhandisi Ezron Kilamhama Katibu Tawala Msaidizi Sehemu ya Miundo mbinu akiwa kwenye kikao cha Tume ya Haki Jinai

 Balozi Ombeni Sefue ambaye ni Makamu Mwenyekiti wa Tume ya Haki Jinai akiwasikiliza wajumbe mbalimbali wa Tume ya Haki  jinai (Hawapo pichani) leo hii katika Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Morogoro

Tume ya kuangalia namna ya kuboresha taasisi za haki jinai iliyoundwa na Rais Mhe. DKT. Samia Suluhu Hassan hivi karibuni imewasili Mkoani Morogoro kwa ziara ya kukusanya maoni kwa wananchi wa Mkoa wa Mororgoro.

Zoezi la ukusanyaji wa maoni na mapendekezo kutoka kwa wadau mbalimbali ikiwa pamoja na viongozi wa dini kwenye kikao.

Akithibitisha ziara hiyo Balozi Ombeni Sefue ambaye ni Makamu Mwenyekiti wa Tume hiyo leo Machi 9, 2023 katika Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Morogoro, amesema ziara hiyo inahusu ukusanyaji wa maoni na mapendekezo ili kuboresha taasisi za haki jinai.

Akifafanua zaidi Balozi Ombeni Sefue amesema tume hii imegawanyika katika Mikoa mbalimbali ukiwemo mkoa huu wa Morogoro ambapo sisi tupo ili kupata tathmini ya Mkoa kuhusu haki jinai kwa kukusanya maoni ya wananchi na wadau mbalimbali wa Mkoa wa Morogoro...”

Aidha, amebainisha lengo la ziara hiyo Mkoani humo kuwa ni kupokea tathmini juu ya tume hiyo na kukusanya maoni, changamoto, mapendekezo na ushauri kutoka kwa wadau mbalimbali na wananchi kuhusu mfumo huo lengo ni kuuboresha.

Balozi Ombeni Sefue (kushoto) akiwa katika picha na viongozi mbalimbali kweye kikao cha Tume ya Haki Jinai mkoani Morogoro.

Sambamba na hayo Balozi Ombeni Sefue aliyekuwa Katibu Mkuu Kiongozi hapa nchini amesema tume yake imepokea mapendekezo mengi yanayoboresha Taasisi za haki Jinai ikiwa ni pamoja na kuwa na mfumo haki jinai unaoleta maridhiano na kufuata yale yote dini zetu zinazotufundisha kwani haki ni muhimu zaidi.

Viongozi wa Dini wakichangia mapendekezo na maoni kwenye kikao cha Tume ya Haki Jinai Mkoani Morogoro 


Hata hivyo, Tume hiyo imekutana na viongozi wa dini ambao wametoa maoni na mapendekezo kwa ajili ya kulinda Amani ya nchini

Ilikukamilisha azima hiyo tume pamoja na kuazimia kukutana na wadau mbalimbali mkoani humo, kwanza imekutana na kamati ya ulinzi na usalama ya Mkoa wa Morogoro na kupokea maoni juu ya kuboresha taasisi za Haki jinai

Alex Mukama kamanda wa polisi Mkoa wa Morogoro akiwa katika kikao cha Tume ya haki Jinai


MWISHO.

Matangazo

  • MATOKEO YA DARASA LA SABA 2024 October 30, 2024
  • View All

Habari Mpya

  • RC MALIMA AKEMEA ULANGUZI WA MAZAO.

    May 08, 2025
  • WAAJIRI MOROGORO WATAKIWA KUTATUA CHANGAMOTO ZA WAFANYA KAZI WAO.

    May 01, 2025
  • SERIKALI KUJENGA BARABARA YA LUPILO – MALINYI KWA KIWANGO CHA LAMI, Bil. 18 ZATOLEWA KUJENGA MADARAJA MAWILI.

    April 25, 2025
  • MWENGE WA UHURU 2025 WATAJA TUNU NNE ZA TAIFA.

    April 19, 2025
  • View All

Video

Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Mhe. Adam Kighoma Malima akikagua ujenzi wa jengo la ofisi mpya ya Mkuu wa Mkoa.
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Maelezo ya Mkoa
  • Tangazo la Zabuni
  • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
  • Hotuba
  • Taarifa kwa Umma

Kurasa Mashuhuri

  • Tovuti ya Tanzania
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • TAMISEMI
  • Ikulu
  • Katibu Mkuu Kiongozi
  • Tovuti ya Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Morogoro

    Sanduku la Posta: S.L.P 650 MOROGORO

    Simu: +2550232934305

    Simu: +255766828252

    Barua pepe: ras.morogoro@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2024 Ofisi Ya Mkuu wa Mkoa Morogoro. Haki Zote Zimehifadhiwa.