• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
Mkoa wa Morogoro
Mkoa wa Morogoro

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Morogoro

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Maelezo ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Sehemu na Vitengo
      • Utawala na Rasilimali
      • Serikali za Mitaa
      • Uhasibu na Fedha
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Sheria
      • TEHAMA
      • Afya
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Kitengo cha Habari na Mawasiliano Serikalini
  • Wilaya
    • Morogoro
    • Mvomero
    • Gairo
    • Kilosa
    • Kilombero
    • Ulanga
    • Malinyi
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Morogoro
    • Morogoro DC
    • Mvomero
    • Gairo
    • Ulanga
    • Malinyi
    • Mlimba
    • Ifakara Mji
    • Kilosa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uchimbaji wa Madini
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
    • Huduma za Ugavi
  • Machapisho
    • Miongozo Mbalimbali
    • Majarida
    • Fomu Mbalimbali
    • Ripoti mbalimbali
    • Mpango Mkakati
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Videos
    • Hotuba
    • Picha

TUNAENDA KUJENGA BARABARA ITAKAYO UNGANISHA MKOA WA MOROGORO NA MIKOA MINGINE - DKT. SAMIA

Posted on: August 4th, 2024

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan ameahidi kuendelea kujenga miundombinu ya barabra itakayounganisha Mkoa wa Morogoro na Mikoa ya Njombe na Iringa kwa lengo la kuwezesha usafiri na usafirishaji wa mazao ya chakula na bishara kutoka katika mikoa hiyona  na kufanya hiyo kufunguka kiuchumi.

Dkt. Samia amesema hayo  Agosti 4, 2024 wakati wa uzinduzi wa  barabara ya Kidatu - Ifakara  yenye urefu wa kilometa takribani 67 pamoja na daraja la mto Ruaha lililopo  Wilayani Kilombero ambapo limegharimu  zaidi ya shilingi Bilioni 157 hadi kukamilika kwake ikiwa ni  ziara yake ya kikazi ya siku 6 Mkoani Morogoro.

Dkt Samia Suluhu Hassan amesema kukamilika kwa ujenzi wa Daraja na barabara hiyo ni moja ya hatua ya kuanza kuunganisha Mkoa wa Morogoro na mikoa ya Njombe na Ruvuma huku akibainisha kuwa Serikali itahakikisha maeneo hayo wanajenga miundombinu ya kutosha kwa sababu ya uzalishaji  mkubwa wa mazao ya chakula uliopo unaopeleka chachu ya maendeleo katika Mikoa hiyo na Tanzania Kwa ujumla.

".. Ni ahadi ya Serikali Kwamba tunakwenda kuijenga njia hiyo mpaka tuweze kuunganisha Mkoa wa Morogoro na Mikoa mingine inayopakana nayo.." amesema Dkt. Samia

Dkt. Samia amesema moja ya lengo la ziara yake katika Mkoa wa Morogoro pamoja na kuangalia miradi ya maendeleo pia ni kuangalia adhari za mvua kubwa zilizonyesha mwaka huu na kutoa maagizo kwa  wizara ya ujenzi kufanyia marekebisho ya miundombinu ya barabara iliyoharibiwa kuwa mizuri ili kurahisisha usafiri na usafirishaji.


Katika ziara hiyo pia Dkt. Samia Suluhu Hassan ameweka jiwe la msingi la upanuzi wa kiwanda cha Sukari cha Kilombero ambapo ujenzi huo unaendelea vizuri mbao hadi sasa umefikia asilimia 83 na unatarajiwa kukamilika  mwezi wa Juni 2025.

Imeelezwa kuwa kiwanda hicho kitakapokamilika kitaongeza uzalishaji wa bidhaa ya sukari nchini na kufanya utoshelevu wa bidhaa hiyo kwa watumiaji, pia kitasaidia kutunza fedha za kigeni kwa kuacha kuagiza bidhaa hiyo nje ya nchi.

MWISHO.

Matangazo

  • MATOKEO YA DARASA LA SABA 2024 October 30, 2024
  • TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI. May 13, 2025
  • View All

Habari Mpya

  • RC MALIMA ASHIRIKI MATEMBEZI YA HISANI, ASEMA HOSPITALI YA RUFAA INAHIMILI WAGONJWA.

    May 17, 2025
  • VYAMA VYA SIASA NCHINI VYATAHADHARISHWA

    May 15, 2025
  • RC MALIMA ATAKA VYAMA VYA USHIRIKA VYA WAFUGAJI

    May 15, 2025
  • Vyama vya Ushirika Vyatakiwa Kutumia TEHAMA

    May 14, 2025
  • View All

Video

Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Mhe. Adam Kighoma Malima akikagua ujenzi wa jengo la ofisi mpya ya Mkuu wa Mkoa.
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Maelezo ya Mkoa
  • Tangazo la Zabuni
  • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
  • Hotuba
  • Taarifa kwa Umma

Kurasa Mashuhuri

  • Tovuti ya Tanzania
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • TAMISEMI
  • Ikulu
  • Katibu Mkuu Kiongozi
  • Tovuti ya Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Morogoro

    Sanduku la Posta: S.L.P 650 MOROGORO

    Simu: +2550232934305

    Simu: +255766828252

    Barua pepe: ras.morogoro@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2024 Ofisi Ya Mkuu wa Mkoa Morogoro. Haki Zote Zimehifadhiwa.