• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
Mkoa wa Morogoro
Mkoa wa Morogoro

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Morogoro

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Maelezo ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Sehemu na Vitengo
      • Utawala na Rasilimali
      • Serikali za Mitaa
      • Uhasibu na Fedha
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Sheria
      • TEHAMA
      • Afya
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Kitengo cha Habari na Mawasiliano Serikalini
  • Wilaya
    • Morogoro
    • Mvomero
    • Gairo
    • Kilosa
    • Kilombero
    • Ulanga
    • Malinyi
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Morogoro
    • Morogoro DC
    • Mvomero
    • Gairo
    • Ulanga
    • Malinyi
    • Mlimba
    • Ifakara Mji
    • Kilosa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uchimbaji wa Madini
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
    • Huduma za Ugavi
  • Machapisho
    • Miongozo Mbalimbali
    • Majarida
    • Fomu Mbalimbali
    • Ripoti mbalimbali
    • Mpango Mkakati
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Videos
    • Hotuba
    • Picha

Twaha Kiduku akabidhiwa bendera ya Taifa, aahidi kurejea na ubingwa.

Posted on: December 23rd, 2020

Kwa mara nyingine tena Bondia Twaha Ramadhan maarufu kama Twaha kiduku amekabidhiwa Bendera ya taifa kwa ajili ya kuuwakilisha Mkoa na Taifa kwa ujumla kushiriki pambano la masumbwi linalotarajiwa kufanyika Disemba 26 mwaka huu.

Twaha amekabidhiwa Bendera hiyo leo Disemba 24 Katika Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Morogoro na Katibu Tawala Msaidizi Sehemu ya Mipango na Uratibu Ndugu Anza – Amen Ndossa kwa niaba ya Katibu Tawala wa Mkoa huo Mhandisi Emmanuel Kalobelo.

Pambano hilo la kipekee litahusisha Mabondia mbalimbali kutoka ndani na nje ya nchi ambapo Twaha Kiduku anatarajia kuzichapa na Bondia kutoka Jamhuri ya Demokrasia ya Congo Guy Tshimange katika  uwanja wa Next door Arena Masaki mchezo wa roundi kumi uzito wa  Kilo 76.

Akimkabidhi bendera hiyo Ndossa amesema, michezo  hujenga Afya, hutumika kama kiungo cha upatanishi, michezo ni buruduni na kwa wakati wa sasa michezo ni Uchumi.

”Michezo hujenga afya, mchezo unatumika kama kiunga katika upatanishi, lakini kwa zama za sasa hivi mchezo ni sehemu ya kujipatia kipato yeye mwenyewe anayecheza, walimu wake, lakini na wale wote ambao wanahususika” amesisitiza  Katibu Tawala huyo.

Kwa upande wake Kocha wa Bondia Kiduku Chanzi Mbwana, amesema jopo lake la ushindi limemuandaa vizuri Kiduku kumtwanga mpinzani wake hivyo wanamorogoro na watanzania wote watafurahia pambano hilo ambalo anaamini Twaha atapata ushindi mkubwa.

“Maandalizi ya Bondia wetu yapo vizuri, tumejiandaa kisaikoloji, teknically, kila kitu nikiwa na jopo langu  la ushindi. Maana yake timu ushindi haijawahi kuangusha watu wa Morogoro.. anayeweza kuibeba bendera ya chuma ni Twaha peke yake hakuna mtu yoyote anaweza kuipeperusha bendera ya chuma” amesema Ndg. Chanzi

Naye Bondia Twaha Kiduku, amewatoa hofu Watanzania na kuwahakikishia kurudi na ubingwa licha ya watu wengi kuwa na wasiwasi juu ya msiba wa baba yake uliotokea hivi karibuni wakiamini pengine anaweza kushindwa kufanya  vizuri.

Disemba 26 kila mwaka huadhimishwa siku ya mabondia duniani ambapo Tanzania ni miongoni mwa nchi zinazoshiriki.

MWISHO

Matangazo

  • MATOKEO YA DARASA LA SABA 2024 October 30, 2024
  • TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI. May 13, 2025
  • View All

Habari Mpya

  • MAFUNZO YA AMIS NA TAUSI YATOLEWA MKOANI MOROGORO.

    May 21, 2025
  • MAFUNZO YA AMIS NA TAUSI YATOLEWA MKOANI MOROGORO.

    May 21, 2025
  • Zaidi ya Mil. 125 zachangwa kupitia chakula cha hisani kukarabati Hospitali ya Rufaa Morogoro.

    May 18, 2025
  • RC MALIMA ASHIRIKI MATEMBEZI YA HISANI, ASEMA HOSPITALI YA RUFAA INAHIMILI WAGONJWA.

    May 17, 2025
  • View All

Video

Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Mhe. Adam Kighoma Malima akikagua ujenzi wa jengo la ofisi mpya ya Mkuu wa Mkoa.
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Maelezo ya Mkoa
  • Tangazo la Zabuni
  • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
  • Hotuba
  • Taarifa kwa Umma

Kurasa Mashuhuri

  • Tovuti ya Tanzania
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • TAMISEMI
  • Ikulu
  • Katibu Mkuu Kiongozi
  • Tovuti ya Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Morogoro

    Sanduku la Posta: S.L.P 650 MOROGORO

    Simu: +2550232934305

    Simu: +255766828252

    Barua pepe: ras.morogoro@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2024 Ofisi Ya Mkuu wa Mkoa Morogoro. Haki Zote Zimehifadhiwa.