• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
Mkoa wa Morogoro
Mkoa wa Morogoro

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Morogoro

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Maelezo ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Sehemu na Vitengo
      • Utawala na Rasilimali
      • Serikali za Mitaa
      • Uhasibu na Fedha
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Sheria
      • TEHAMA
      • Afya
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Kitengo cha Habari na Mawasiliano Serikalini
  • Wilaya
    • Morogoro
    • Mvomero
    • Gairo
    • Kilosa
    • Kilombero
    • Ulanga
    • Malinyi
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Morogoro
    • Morogoro DC
    • Mvomero
    • Gairo
    • Ulanga
    • Malinyi
    • Mlimba
    • Ifakara Mji
    • Kilosa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uchimbaji wa Madini
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
    • Huduma za Ugavi
  • Machapisho
    • Miongozo Mbalimbali
    • Majarida
    • Fomu Mbalimbali
    • Ripoti mbalimbali
    • Mpango Mkakati
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Videos
    • Hotuba
    • Picha

VYAMA VYA SIASA NCHINI VYATAHADHARISHWA

Posted on: May 15th, 2025


Mwenyekiti wa Baraza la vyama vya siasa hapa nchini Juma Khatibu amevitaka vyama vya siasa nchini  kushiriki uchaguzi Mkuu wa Mwaka 2025 kwa amani na utulivu na kunadi sera za ilani ya vyama hivyo bila fujo jambo ambalo litafanya uchaguzi huo kuwa ws Amani, haki na usawa.

Juma Khatibu ametoa Wito huo Mei 14, 2025 wakati wa kikao cha Baraza la vyama vya siasa ambapo moja ya ajenda ilikuwa ni utoaji wa elimu juu ya masuala ya usawa wa kijinsia kwa vyama  vya siasa mada iliyowasilishwa na Shirika la Wanawake katika Sheria na Maendeleo Barani Afrika (WILDAF).

Kiongozi huyo amesema, katika uchaguzi Mkuu wa mwaka huu jumla ya vyama vya siasa 18 vitashiriki huku akitos wito kwa watakaogombea kwenda kusimamia misingi na maadili ya katiba za vyama vyao, kunadi sera za vyama vyao kistarabu na kuweka mbele uzalendo.

".. Sisi viongozi wa vyama vya siasa tushiriki uchaguzi kwa njia ya amani na utulivu na niwaombe twende tukanadi sera ya vyama vyetu vya siasa bila kutoa maneno yasiofaa.." amesisitiza.

Kwa upande wake mtoa mada kutoka WILDAF Bi. Rehema Maro amesema lengo la mafunzo hayo ni kwenda kuboresha mifumo ya kisiasa inayojali haki usawa na uwajibikaji pia ushiriki wa wanawake katika shughuli za kisiasa ndani ya vyama vya siasa na nje.

Naye Katibu Mkuuu wa chama cha National League for Democracy (NLD) Bw. Doyo Hassan Doyo amesema kupitia uundwaji wa madawati ya kijinsia ndani ya vyama vya siasa, yatatokomeza  unyanyasaji wa kijinsia ndani ya vyama hivyo na kuwa na usawa wa kijinsia katika nyazifa za uongozi.

Katibu Mkuu wa Chama cha National Convention Contruction and Reform (NCCR- Mageuzi) Bi. Everine Munis amesema kuundwa kwa majukwaa hayo ndani ya vyama vya siasa unalenga wanawake, wanaume, vijana na watu wenye ulemavu katika kuwania nafasi za uongozi na kuwataka wanawake kugombea nafasi mbalimbali ndani ya vyama vyao.

MWISHO.

Matangazo

  • MATOKEO YA DARASA LA SABA 2024 October 30, 2024
  • TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI. May 13, 2025
  • View All

Habari Mpya

  • RC MALIMA ASHIRIKI MATEMBEZI YA HISANI, ASEMA HOSPITALI YA RUFAA INAHIMILI WAGONJWA.

    May 17, 2025
  • VYAMA VYA SIASA NCHINI VYATAHADHARISHWA

    May 15, 2025
  • RC MALIMA ATAKA VYAMA VYA USHIRIKA VYA WAFUGAJI

    May 15, 2025
  • Vyama vya Ushirika Vyatakiwa Kutumia TEHAMA

    May 14, 2025
  • View All

Video

Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Mhe. Adam Kighoma Malima akikagua ujenzi wa jengo la ofisi mpya ya Mkuu wa Mkoa.
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Maelezo ya Mkoa
  • Tangazo la Zabuni
  • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
  • Hotuba
  • Taarifa kwa Umma

Kurasa Mashuhuri

  • Tovuti ya Tanzania
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • TAMISEMI
  • Ikulu
  • Katibu Mkuu Kiongozi
  • Tovuti ya Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Morogoro

    Sanduku la Posta: S.L.P 650 MOROGORO

    Simu: +2550232934305

    Simu: +255766828252

    Barua pepe: ras.morogoro@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2024 Ofisi Ya Mkuu wa Mkoa Morogoro. Haki Zote Zimehifadhiwa.