• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
Mkoa wa Morogoro
Mkoa wa Morogoro

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Morogoro

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Maelezo ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Sehemu na Vitengo
      • Utawala na Rasilimali
      • Serikali za Mitaa
      • Uhasibu na Fedha
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Sheria
      • TEHAMA
      • Afya
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Kitengo cha Habari na Mawasiliano Serikalini
  • Wilaya
    • Morogoro
    • Mvomero
    • Gairo
    • Kilosa
    • Kilombero
    • Ulanga
    • Malinyi
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Morogoro
    • Morogoro DC
    • Mvomero
    • Gairo
    • Ulanga
    • Malinyi
    • Mlimba
    • Ifakara Mji
    • Kilosa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uchimbaji wa Madini
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
    • Huduma za Ugavi
  • Machapisho
    • Miongozo Mbalimbali
    • Majarida
    • Fomu Mbalimbali
    • Ripoti mbalimbali
    • Mpango Mkakati
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Videos
    • Hotuba
    • Picha

WADAU WA KILIMO KANDA YA MASHARIKI WASHAURI KUELEKEA MAONESHO YA NANENANE MWAKA 2022.

Posted on: July 15th, 2022


WADAU WA KILIMO KANDA YA MASHARIKI WASHAURI KUELEKEA MAONESHO YA NANENANE MWAKA 2022.


Wadau wa kilimo Mkoani Morogoro wameshauri wakulima wenzao, wafugaji na wavuvi juu ya umuhimu wa elimu bora ya kilimo, uvuvi na ufugaji kuelekea sherehe za maonesho ya Nanenane yanayotarajiwa kuanza Agosti na kukamilika Agosti 8 mwaka huu katika viwanja vya MWL. J.K Nyerere Nanenane Mkoani humo.

Akiongea mara baada ya kikao cha wataalamu cha maandalizi ya maadhimisho hayo kilichofanyika jana Agosti 14 mwaka huu Bw. Best Massamba ambaye ni mwakilishi wa tasnia ya Sukari hapa nchini, amesema Msingi mkubwa wa kilimo chenye tija ni wadau wa sekta hiyo kupata elimu bora ya kilimo chenye tija.


Meneja wa Banda la Bodi ya Sukari katika viwanja vya maonesho ya Nanenane ambaye pia ni mwakilishi wa Tasnia ya Sukari hapa nchini Bw. Best Massamba akizungumza wakati wa mahojiano juu ya maandalizi ya Maonesho hayo Julai 14 mwaka huu.

Kwa msingi huo Bw. Massamba amewataka wananchi Mikoa minne inayounda kanda ya Mashariki Tanga, Dar es Salaa, Pwani na wenhyeji Morogoro waweze kujitokeza katika maonesho hayo ili kupata Elimu bora ya Kilimo, Uvuvi na Ufugaji lengo kuu likiwa ni kupata Elimu juu ya kilimo chenye tija ili kuweza kupata mazao bora na hatimaye kumkomboa kiuchumi.

 “Wito wangu kwa wanakanda ya Mashariki waweze kufika hapa ili wajifunze mbinu bora za kilimo cha miwa chenye tija” amebainisha Bw. Massamba.





Mojawapo ya vipando vilivyopo katika viwanja J.K. Nyerere kama sehemu ya maandilizi ya Maonesho ya wakulima ya Nanenane yanayotaraji kuanza Agoti 1 mwaka huu.

Naye Bw. Byarugaba Jackson ambaye ni afisa mawasiliano kutoka Mji wa Kibaha ameweka wazi kuwa Maonesho ya Nanenane ya mwaka huu yataenda sambamba na upataji wa elimu, maonesho ya zana za kilimo za kisasa, mbegu bora na kushauri juu ya matumizi sahihi ya teknolojia ya kisasa katika kilimo, ufugaji na uvuvi ili kuweza kuondoa umasikini kwa wakulima hapa nchini.


Bw. Byarugaba Jackson ambaye ni afisa mawasiliano kutoka Mji wa Kibaha akizungumza wakati wa mahojiano.


Kwa upande wake Afisa habari wa Jiji la Tanga Bw. Musa Laban amesema kupitia Maonesho hayo jamii itanufaika moja kwa moja kwani mbinu bora za utunzaji wa mimea hupatikana katika Maonesho hayo hivyo amewananchi hususana wakulima, wafugaji na wavuvi wa Kanda hiyo ya Mashariki kujitokeza kwa wingi kuanzia Agosti mosi kushiriki sherehe hizo katika viwanja vya Mwl. J.K. Nyerere vilivyopo Mkoani Morogoro.


Afisa habari na mawasiliano wa Mkoa wa Tanga akitoa wito kwa wananchi wa kanda hiyo kujitokeza kwa wingi wakati wa sherehe za maonesho ya Nanenane.


MWISHO.

Matangazo

  • MATOKEO YA DARASA LA SABA 2024 October 30, 2024
  • View All

Habari Mpya

  • RC MALIMA AKEMEA ULANGUZI WA MAZAO.

    May 08, 2025
  • WAAJIRI MOROGORO WATAKIWA KUTATUA CHANGAMOTO ZA WAFANYA KAZI WAO.

    May 01, 2025
  • SERIKALI KUJENGA BARABARA YA LUPILO – MALINYI KWA KIWANGO CHA LAMI, Bil. 18 ZATOLEWA KUJENGA MADARAJA MAWILI.

    April 25, 2025
  • MWENGE WA UHURU 2025 WATAJA TUNU NNE ZA TAIFA.

    April 19, 2025
  • View All

Video

Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Mhe. Adam Kighoma Malima akikagua ujenzi wa jengo la ofisi mpya ya Mkuu wa Mkoa.
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Maelezo ya Mkoa
  • Tangazo la Zabuni
  • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
  • Hotuba
  • Taarifa kwa Umma

Kurasa Mashuhuri

  • Tovuti ya Tanzania
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • TAMISEMI
  • Ikulu
  • Katibu Mkuu Kiongozi
  • Tovuti ya Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Morogoro

    Sanduku la Posta: S.L.P 650 MOROGORO

    Simu: +2550232934305

    Simu: +255766828252

    Barua pepe: ras.morogoro@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2024 Ofisi Ya Mkuu wa Mkoa Morogoro. Haki Zote Zimehifadhiwa.