• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
Mkoa wa Morogoro
Mkoa wa Morogoro

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Morogoro

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Maelezo ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Sehemu na Vitengo
      • Utawala na Rasilimali
      • Serikali za Mitaa
      • Uhasibu na Fedha
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Sheria
      • TEHAMA
      • Afya
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Kitengo cha Habari na Mawasiliano Serikalini
  • Wilaya
    • Morogoro
    • Mvomero
    • Gairo
    • Kilosa
    • Kilombero
    • Ulanga
    • Malinyi
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Morogoro
    • Morogoro DC
    • Mvomero
    • Gairo
    • Ulanga
    • Malinyi
    • Mlimba
    • Ifakara Mji
    • Kilosa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uchimbaji wa Madini
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
    • Huduma za Ugavi
  • Machapisho
    • Miongozo Mbalimbali
    • Majarida
    • Fomu Mbalimbali
    • Ripoti mbalimbali
    • Mpango Mkakati
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Videos
    • Hotuba
    • Picha

Wajasiliamali 3042 wajisajili mfumo wa kielektonic, RC Malima ataka uhamasishaji uongezeke.

Posted on: December 19th, 2024

Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Mhe. Adam Kighoma Malima amewataka waratibu wa wafanyabiashara ndogo pamoja na viongozi wa wafanyabiashara kuendelea kuwahamasisha wafanyabiashara hao kujisajili katika mfumo wa kielektroniki ili kupata vitambulisho vitakavyowatambulisha katika maeneo yao ya kazi.

Mhe. Malima amesema hayo Disemba 19, Mwaka huu wakati wa uzinduzi wa ugawaji wa vitambulisho vya kielekroniki vya wafanyabiashara ndogo Mkoa wa Morogoro uliofanyika ukumbi wa mikutano wa Ofisi ya Mkuu wa Mkoa huo iliyopo Manispaa ya Morogoro.


  Akifafanua zaidi Mkuu huyo wa Mkoa amesema takwimu ya usajili wa wafanya biashara hao kujiandikisha ni 3042 kwa mkoa mzima na kwamba takwimu hiyo bado iko chini kwani amesema wafanya biashara ndogo ndogo wapo wengi zaidi ya waliojiandikisha hivyo ametaka juhudi ya uhamasishaji ifanyike  ili wajisajiri wafanyabiashara wengi.


"... kwa hiyo leo katika biashara ndogo ndogo waliosajiliwa ni 3042 wanaume 1108 na wanawake ni 1934... tuendelee kuwahamasisha wajitokeze kwa wingi kujisajili..." amesema Mhe. Adam Kighoma Malima

Katika hatua nyingine, Mhe. Adam amewaagiza wenyeviti wa Halmashauri kila kikao cha Baraza la Madiwani maafisa uratibu wawasilishe taarifa ya wafanyabiashara wanaondelea kujisajili pia amewataka Wakuu wa Wilaya na Wakurugenzi kusaidia kuhamasisha na kusimamia ugawaji wa vitambulisho.

Kwa upande wake, Afisa Maendeleo ya Jamii Mkoa wa Morogoro Bw. Gibson Mathew ambaye pia ni Mratibu wa Wafanyabiashara ndogo ndogo Mkoani humo amesema  vitambulisho vilivyotolewa vitawapa wafanyabiashara hao fursa ya kukopa banki ya NMB ambayo ndiyo imeingia mkataba na serikali ili kuweza kuongeza mitaji yao katika utendaji kazi wao.


Kwa niaba ya wafanyabiashara ndogo ndogo Mwenyekiti wa machinga Mkoani wa Morogoro Bw. Faustine Francis amesema amefurahi kutambuliwa na serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania inayoongozwa na Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kupewa vitambulisho ambapo ndio utambulisho maalum katika maeneo yao ya kazi ili kufanya shughuli zao bila bughudha.


Mwisho.

Matangazo

  • MATOKEO YA DARASA LA SABA 2024 October 30, 2024
  • View All

Habari Mpya

  • RC MALIMA AKEMEA ULANGUZI WA MAZAO.

    May 08, 2025
  • WAAJIRI MOROGORO WATAKIWA KUTATUA CHANGAMOTO ZA WAFANYA KAZI WAO.

    May 01, 2025
  • SERIKALI KUJENGA BARABARA YA LUPILO – MALINYI KWA KIWANGO CHA LAMI, Bil. 18 ZATOLEWA KUJENGA MADARAJA MAWILI.

    April 25, 2025
  • MWENGE WA UHURU 2025 WATAJA TUNU NNE ZA TAIFA.

    April 19, 2025
  • View All

Video

Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Mhe. Adam Kighoma Malima akikagua ujenzi wa jengo la ofisi mpya ya Mkuu wa Mkoa.
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Maelezo ya Mkoa
  • Tangazo la Zabuni
  • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
  • Hotuba
  • Taarifa kwa Umma

Kurasa Mashuhuri

  • Tovuti ya Tanzania
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • TAMISEMI
  • Ikulu
  • Katibu Mkuu Kiongozi
  • Tovuti ya Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Morogoro

    Sanduku la Posta: S.L.P 650 MOROGORO

    Simu: +2550232934305

    Simu: +255766828252

    Barua pepe: ras.morogoro@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2024 Ofisi Ya Mkuu wa Mkoa Morogoro. Haki Zote Zimehifadhiwa.