• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
Mkoa wa Morogoro
Mkoa wa Morogoro

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Morogoro

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Maelezo ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Sehemu na Vitengo
      • Utawala na Rasilimali
      • Serikali za Mitaa
      • Uhasibu na Fedha
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Sheria
      • TEHAMA
      • Afya
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Kitengo cha Habari na Mawasiliano Serikalini
  • Wilaya
    • Morogoro
    • Mvomero
    • Gairo
    • Kilosa
    • Kilombero
    • Ulanga
    • Malinyi
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Morogoro
    • Morogoro DC
    • Mvomero
    • Gairo
    • Ulanga
    • Malinyi
    • Mlimba
    • Ifakara Mji
    • Kilosa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uchimbaji wa Madini
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
    • Huduma za Ugavi
  • Machapisho
    • Miongozo Mbalimbali
    • Majarida
    • Fomu Mbalimbali
    • Ripoti mbalimbali
    • Mpango Mkakati
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Videos
    • Hotuba
    • Picha

Wanaodaiwa malimbikizo ya Kodi na TRA watakiwa kulipa

Posted on: September 23rd, 2023

Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Mhe, Adam Kighoma Malima amewataka wafanyabiashara na Wajasiriamali wanaodaiwa malimbikizo ya kodi na Mamlaka ya Mapato Tanzania -TRA kutakiwa kuyalipa madeni hayo ili kukuza uchumi wa Taifa na hivyo Taifa kujitegemea.

Adam Malima ametoa gizo hilo septemba 22 mwaka huu wakati akifungua Kampeni ya TUWAJIBIKE ngazi ya Mkoa iliyoandaliwa na TRA na kufanyika katika ukumbi wa mikutano wa Mkuu wa Mkoa huo huku kikiwashirikisha Baraza la Wafanyabiashara na wajasiliamali TCCIA.

Akitoa agizo hilo wakati akifungua kampeni hiyo iliyolenga kuhimiza wafanyabiashara kutoa risiti kwa kutumia mashine ya kielektroniki na wananchi kudai risiti pindi wanaponunua bidhaa zao, amesema wafanyabiashara wanapochelewa kulipa madeni hayo wanazidi kuongeza riba na madeni kuzidi kuongezeka zaidi kisha kupeleka lawama kwa TRA.

“Lakini mjihisi na mjichukulie kwamba na nyinyi mnawajibu wa kulipa malimbikizo hayo, mnapochelewa kulipa malimbikizo hayo mnaongeza riba na mwisho wa siku madeni haya yanazidi kuongezeka” amesema Mhe, Malima.


Hata hivyo, ameipongeza TRA kwa kutambua mchango wao katika kukusanya mapato jambo ambalo linainua uchumi wa wananchi na nchi kuweza kujitegemea kiuchumi.


Kwa upande wake Kaimu meneja TRA Mkoa wa Morogoro Bw. Chacha Gotora amesema wamezindua kampeni ya tuwajibike kwa lengo la kuhamasisha wafanyabiashara kutumia mashine za kielectroniki na wateja kudai risiti sahihi wanapo nunua bidhaa ili kuongeza ukusanyaji wa mapato kwa maslahi ya Taifa.


Nao wananchi wa Mkoa wa Morogoro akiwemo Bw. Joshua Mkazi wa Manispaa ya hiyo ameishukuru TRA kwa kampeni hiyo ya TUWAJIBIKE huku akieleza kuwa TRA inatoa elimu nzuri kwa wateja wake juu ya umuhimu wa kutoa kodi na kudai risiti ya kielektroniki kwa maendeleo ya taifa.


MWISHO

Matangazo

  • MATOKEO YA DARASA LA SABA 2024 October 30, 2024
  • View All

Habari Mpya

  • RC MALIMA AKEMEA ULANGUZI WA MAZAO.

    May 08, 2025
  • WAAJIRI MOROGORO WATAKIWA KUTATUA CHANGAMOTO ZA WAFANYA KAZI WAO.

    May 01, 2025
  • SERIKALI KUJENGA BARABARA YA LUPILO – MALINYI KWA KIWANGO CHA LAMI, Bil. 18 ZATOLEWA KUJENGA MADARAJA MAWILI.

    April 25, 2025
  • MWENGE WA UHURU 2025 WATAJA TUNU NNE ZA TAIFA.

    April 19, 2025
  • View All

Video

Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Mhe. Adam Kighoma Malima akikagua ujenzi wa jengo la ofisi mpya ya Mkuu wa Mkoa.
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Maelezo ya Mkoa
  • Tangazo la Zabuni
  • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
  • Hotuba
  • Taarifa kwa Umma

Kurasa Mashuhuri

  • Tovuti ya Tanzania
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • TAMISEMI
  • Ikulu
  • Katibu Mkuu Kiongozi
  • Tovuti ya Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Morogoro

    Sanduku la Posta: S.L.P 650 MOROGORO

    Simu: +2550232934305

    Simu: +255766828252

    Barua pepe: ras.morogoro@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2024 Ofisi Ya Mkuu wa Mkoa Morogoro. Haki Zote Zimehifadhiwa.