• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
Mkoa wa Morogoro
Mkoa wa Morogoro

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Morogoro

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Maelezo ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Sehemu na Vitengo
      • Utawala na Rasilimali
      • Serikali za Mitaa
      • Uhasibu na Fedha
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Sheria
      • TEHAMA
      • Afya
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Kitengo cha Habari na Mawasiliano Serikalini
  • Wilaya
    • Morogoro
    • Mvomero
    • Gairo
    • Kilosa
    • Kilombero
    • Ulanga
    • Malinyi
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Morogoro
    • Morogoro DC
    • Mvomero
    • Gairo
    • Ulanga
    • Malinyi
    • Mlimba
    • Ifakara Mji
    • Kilosa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uchimbaji wa Madini
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
    • Huduma za Ugavi
  • Machapisho
    • Miongozo Mbalimbali
    • Majarida
    • Fomu Mbalimbali
    • Ripoti mbalimbali
    • Mpango Mkakati
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Videos
    • Hotuba
    • Picha

WATANZANIA TUPENDE MCHEZO WA GOFU - DKT. NDUMBARO

Posted on: May 4th, 2024

WATANZANIA TUPENDE MCHEZO WA GOFU -  DKT. NDUMBARO


Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Dkt. DAMAS Ndumbaro ametoa wito kwa watanzania wote kupenda michezo hasa mchezo wa golfu  kutokana na mchezo huo kuwa mzuri na ni rafiki kwa kila mtu na kwa kila rika katika kuucheza.


Dkt. Ndumbaro ametoa wito huo Mei 4, 2024 wakati wa kuhamasisha mchezo huo wa golfu Mkoani Morogoro akiwa ameambatana na mwenyeji wake Mkuu wa Mkoa huo Mhe. Adam Kighoma Malima na viongozi wengine wa Serikali ngazi ya Mkoa.


"....Watanzania wote tuipende michezo na mchezo wa golfu ni mmoja kati ya michezo ambayo hauchagui umri mtu yoyote kwa umri wowote anacheza.." amesema Waziri Damas Ndumbaro.

 Akisisitiza zaidi amesema kuwa wanamorogoro wana bahati, kwa Mkoa kuwa na viwanja viwili vya golfu ambavyo ni kiwanja cha Gymkana kilichopo Manispaa ya Morogoro na kiwanja cha Kilombero.

Kwa upande wake Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Mhe. Adam kighoma Malima amesema watahakikisha kila shule inakuwa na viwanja vya michezo ili watoto wanaposoma waweze kupata ujuzi wa michezo mbalimbali na kukuza vipaji vyao.

Mhe. Malima amebainisha kulipokea agizo la Waziri na kawmba wataenda kulifanyia kazi kwa kila Halmashauri za Mkoa wa Morogoro na kuratibu kila shule iwe na viwanja vya michezo na kuweka katika mizania  baina ya michezo ya watoto wakike na wakiume.

Aidha, Mkuu huyo wa Mkoa amesema Mkoa huo una viwanja bora vya golfu, lakini havitumiki ipasavyo na wenyeji wake, hivyo amewataka wanamorogoro kujifunza mchezo wa Golfu na sio kusubiri watu kutoka nje waje kuvitumia viwanja hivyo vya Gymkana na Kilombero.

Katika hatua nyingine Mhe. Malima amesema kutakuwa na mashindano ya Golfu (Morogoro Open) yatakayofanyika Juni 14, 2024 na Mkuu wa Mkoa wa Morogoro atakuwa mgeni rasmi katika ufunguzi huo na June 17 Waziri wa Michezo atafunga mashindano hayo, nivyo ameomba wachezaji wote wa kitaifa na kimataifa kuhudhuria mashindano hayo.


Naye Meya wa Manipsaa ya Morogoro Mhe. Pascal Kihanga amesema ni kama bahati na neema kwa Morogoro, Mji unaotarajia kuwa Jiji siku za usoni huku akifurahishwa naSerikali ya awamu ya sita kwa kitendo cha kuteua  uwanja wa mpira wa  CCM Morogoro kuwa miongoni mwa viwanja vitakavyofanyiwa maboresho makubwa lakini pia Mkoa wa Morogoro kupewa heshima ya  kuwa na shule ya kwanza ya kuibua vipaji mbalimbali vya michezo


"... Sisi kama Manispaa tumekubali na tupo tayari kutoa hiyo shule na cha pili tupo tayari kutoa kiwanja kama wapo tayari kujenga .." amesema Mhe. Kihanga.



MWISHO.

Matangazo

  • MATOKEO YA DARASA LA SABA 2024 October 30, 2024
  • TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI. May 13, 2025
  • View All

Habari Mpya

  • RC MALIMA ASHIRIKI MATEMBEZI YA HISANI, ASEMA HOSPITALI YA RUFAA INAHIMILI WAGONJWA.

    May 17, 2025
  • VYAMA VYA SIASA NCHINI VYATAHADHARISHWA

    May 15, 2025
  • RC MALIMA ATAKA VYAMA VYA USHIRIKA VYA WAFUGAJI

    May 15, 2025
  • Vyama vya Ushirika Vyatakiwa Kutumia TEHAMA

    May 14, 2025
  • View All

Video

Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Mhe. Adam Kighoma Malima akikagua ujenzi wa jengo la ofisi mpya ya Mkuu wa Mkoa.
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Maelezo ya Mkoa
  • Tangazo la Zabuni
  • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
  • Hotuba
  • Taarifa kwa Umma

Kurasa Mashuhuri

  • Tovuti ya Tanzania
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • TAMISEMI
  • Ikulu
  • Katibu Mkuu Kiongozi
  • Tovuti ya Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Morogoro

    Sanduku la Posta: S.L.P 650 MOROGORO

    Simu: +2550232934305

    Simu: +255766828252

    Barua pepe: ras.morogoro@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2024 Ofisi Ya Mkuu wa Mkoa Morogoro. Haki Zote Zimehifadhiwa.