• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
Mkoa wa Morogoro
Mkoa wa Morogoro

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Morogoro

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Maelezo ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Sehemu na Vitengo
      • Utawala na Rasilimali
      • Serikali za Mitaa
      • Uhasibu na Fedha
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Sheria
      • TEHAMA
      • Afya
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Kitengo cha Habari na Mawasiliano Serikalini
  • Wilaya
    • Morogoro
    • Mvomero
    • Gairo
    • Kilosa
    • Kilombero
    • Ulanga
    • Malinyi
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Morogoro
    • Morogoro DC
    • Mvomero
    • Gairo
    • Ulanga
    • Malinyi
    • Mlimba
    • Ifakara Mji
    • Kilosa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uchimbaji wa Madini
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
    • Huduma za Ugavi
  • Machapisho
    • Miongozo Mbalimbali
    • Majarida
    • Fomu Mbalimbali
    • Ripoti mbalimbali
    • Mpango Mkakati
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Videos
    • Hotuba
    • Picha

WATOTO ZAIDI YA 84941 KUPATA CHANJO YA POLIO MOROGORO.

Posted on: December 5th, 2022

Kampeni ya utoaji wa chanjo ya Polio kwa watoto chini ya miaka mitano inatarajia kuwafikia watoto zaidi ya 84941 katika Mkoa huo ambapo chanjo hiyo itatolewa kuanzia Disemba 1 hadi 4 mwaka huu, hivyo wazazi wametakiwa kushiriki kikamilifu.

Hayo yamebainishwa Novemba 28 mwaka huu na Mkuu wa Wilaya ya Morogoro Mhe. Albert Msando katika kikao kilichoandaliwa na Idara ya Afya kwenye ukumbi wa Soko la Chifu Kingalu uliopo Manispaa ya Morogoro.

Mkuu huyo wa Wilaya amesema chanjo hiyo ni salama na itatolewa kwa watoto wenye umri wa kuanzia mwaka sifuri hadi miaka mitano.

 “... na sasa tuone namna bora ya kutekeleza zoezi hili kwa ufanisi zaidi, kwa kuwa Mhe. Rais tayari ametimiza wajibu wake hivyo ni wajibu wa wazazi kuwatoa watoto kupatiwa chanjo ya polio”. amesema Mhe. Albert Msando.

Aidha, Mhe. Albet Msando amesisitiza kuwa ugonjwa wa polio hauna tiba lakini unaweza kuzuilika kwa kupata chanjo ya matone ya polio.

Sambamba na hilo, Mkuu wa Wilaya ametumia kikao hicho kuwahamasisha wazazi katika Mkoa huo kushiriki kikamilifu kwa kuwatoa watoto wao kupata chanjo hiyo.

Mkuu wa Wilaya ya Morogoro Mhe. Albert Msando akiongea na wahudumu wa afya kwenye kikao kilichoandaliwa na Idara ya Afya.

Kwa upande wake Mratibu wa chanjo Manispaa ya Morogoro Dkt. Felista Rushimabahizi amesema zoezi hilo la utoaji wa chanjo hiyo ya polio litafanyika nyumba kwa nyumba ili kuwafikia watoto wengi zaidi, hivyo wazazi watoe ushirikiano kwa timu za wachanjaji zitakazopita kwenye nyumba zao ili kufanikisha zoezi hilo.

watoa huduma ya chanjo ya matone ya polio wakiwa kwenye utekelezaji wa kampeni ya nyumba kwa nyumba kutoa chanjo ya polio.

Zoezi hilo la utoaji wa chanjo hapa nchini linalenga kuwafikia watoto zaidi ya milioni 14, 490, 597 na timu za watoa chanjo hiyo watapita kila nyumba ili kuwapata watoto wengi.

Taarifa ya maendeleo ya kampeni ya chanjo kwa halmashauri za Mkoa wa Morogoro kwa siku tatu tangu kuanza kwa kampeni hiyo.

Taarifa hiyo ya chanjo kwa siku tatu tangu kuaza kwa kampeni hiyo imeweza kufanikiwa kwa kiasi kikubwa kwa kuwa watoto 552,958 wamepata chanjo katika Mkoa huo sawa na asilimia 87.30 huku zoezi hili bado linaendelea ndani ya Mkoa huo.

MWISHO

Matangazo

  • MATOKEO YA DARASA LA SABA 2024 October 30, 2024
  • View All

Habari Mpya

  • RC MALIMA AKEMEA ULANGUZI WA MAZAO.

    May 08, 2025
  • WAAJIRI MOROGORO WATAKIWA KUTATUA CHANGAMOTO ZA WAFANYA KAZI WAO.

    May 01, 2025
  • SERIKALI KUJENGA BARABARA YA LUPILO – MALINYI KWA KIWANGO CHA LAMI, Bil. 18 ZATOLEWA KUJENGA MADARAJA MAWILI.

    April 25, 2025
  • MWENGE WA UHURU 2025 WATAJA TUNU NNE ZA TAIFA.

    April 19, 2025
  • View All

Video

Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Mhe. Adam Kighoma Malima akikagua ujenzi wa jengo la ofisi mpya ya Mkuu wa Mkoa.
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Maelezo ya Mkoa
  • Tangazo la Zabuni
  • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
  • Hotuba
  • Taarifa kwa Umma

Kurasa Mashuhuri

  • Tovuti ya Tanzania
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • TAMISEMI
  • Ikulu
  • Katibu Mkuu Kiongozi
  • Tovuti ya Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Morogoro

    Sanduku la Posta: S.L.P 650 MOROGORO

    Simu: +2550232934305

    Simu: +255766828252

    Barua pepe: ras.morogoro@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2024 Ofisi Ya Mkuu wa Mkoa Morogoro. Haki Zote Zimehifadhiwa.