• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
Mkoa wa Morogoro
Mkoa wa Morogoro

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Morogoro

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Maelezo ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Sehemu na Vitengo
      • Utawala na Rasilimali
      • Serikali za Mitaa
      • Uhasibu na Fedha
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Sheria
      • TEHAMA
      • Afya
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Kitengo cha Habari na Mawasiliano Serikalini
  • Wilaya
    • Morogoro
    • Mvomero
    • Gairo
    • Kilosa
    • Kilombero
    • Ulanga
    • Malinyi
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Morogoro
    • Morogoro DC
    • Mvomero
    • Gairo
    • Ulanga
    • Malinyi
    • Mlimba
    • Ifakara Mji
    • Kilosa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uchimbaji wa Madini
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
    • Huduma za Ugavi
  • Machapisho
    • Miongozo Mbalimbali
    • Majarida
    • Fomu Mbalimbali
    • Ripoti mbalimbali
    • Mpango Mkakati
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Videos
    • Hotuba
    • Picha

WAVAMIZI VYANZO VYA MAJI KUONDOLEWA

Posted on: September 29th, 2022


WAVAMIZI VYANZO VYA MAJI KUONDOLEWA

Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Fatma Mwassa ameagiza mamlaka zinazohusika na utunzaji wa vyanzo vya maji kuwaondoa Mara moja wavamizi wote katika maeneo ya vyanzo vya maji ili kuhakikisha kuwa vyanzo hivyo vya maji vinabaki salama kwa manufaa ya watanzania wote.


Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Fatma Mwassa (katikati) akiwa kwenye kongamano la wadau wa kilimo, kushoto ni Dr. Rozalia Rwegasira Katibu Tawala msaidizi-Uchumi, kulia ni Mwenyekiti wa kongamano hilo Profesa Paramagamba Kabudi(M).

Mkuu wa Mkoa ametoa agizo hilo septemba 28 mwaka huu  wakati akifungua Kongamano la Wadau wa Kilimo Mkoa wa Morogoro, kongamano ambalo lililenga kujadili maendeleo ya kilimo, Mifugo na Hifadhi za Mazingira, kilichofanyika Katika Hoteli ya Morena iliyopo Manispaa ya Morogoro.

Katika hatua nyingine, Mkuu huyo wa Mkoa amewataka viongozi katika Mkoa huo kushirikiana Ili kutatua changamoto za wananchi wanao waongoza na kuwasimamia Ili kuleta maendeleo ya Mkoa na Taifa kwa ujumla.

Mkuu wa Wilaya ya Kilombero Hanji Godigodi pamoja na Mkuu wa Wilaya ya Ulanga Ngolo Malenya wakiwa kwenye Konamano hilo.

Amesema, kukosekana kwa mshikamano na ushirikiano wa viongozi kuna sababisha utendaji wao kukosa ufanisi na wananchi kutokuwa na imani na viongozi wao.

Wajumbe wa Kongamano hilo wameazimia kutoa elimu kwa wakulima Ili waweze kufuata ushauri wa wataalam wa Kilimo na kuondokana na kilimo kisicho na tija na kinachosababisha athari za mazingira kama vile uchafuzi na uharibifu wa vyanzo vya maji, ukataji wa miti ovyo hali inayosababisha ukame na athari nyingine hivyo kuathiri sekta ya utalii na Maliasili zilizopo katika mkoa huo.

Kongamano Hilo lihirikisha Viongozi mbalimbali wakiwemo, Katibu tawala wa Mkoa wa Morogoro, Wakuu wa Wilaya, Wabunge, Wenyeviti wa Halmashauri Wataalamu wa Kilimo, maji na mazingira, wakulima na wafugaji.

Kamati ya Ulinzi na Usalama ya Mkoa na Wilaya wakiwa kwenye Kongamano.

MWISHO.

Matangazo

  • MATOKEO YA DARASA LA SABA 2024 October 30, 2024
  • TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI. May 13, 2025
  • View All

Habari Mpya

  • Dkt. Ashatu Kijaji aitaka TAWA kuongeza ubunifu wa kutangaza vivutio

    November 24, 2025
  • RC MALIMA AWASHUKURU VIONGOZI WA DINI, WANA MOROGORO WOTE

    November 04, 2025
  • KUELEKEA UCHAGUZI MKUU, RC MALIMA ASEMA MOROGORO IKO SHWARI, AHIMIZA WANANCHI WALIOJIANDIKISHA KWENDA KUPIGA KURA

    October 28, 2025
  • Morogoro kuimarisha ushirikiano na Zanzibar katika nyanja ya kilimo

    October 16, 2025
  • View All

Video

Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Mhe. Adam Kighoma Malima akikagua ujenzi wa jengo la ofisi mpya ya Mkuu wa Mkoa.
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Maelezo ya Mkoa
  • Tangazo la Zabuni
  • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
  • Hotuba
  • Taarifa kwa Umma

Kurasa Mashuhuri

  • Tovuti ya Tanzania
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • TAMISEMI
  • Ikulu
  • Katibu Mkuu Kiongozi
  • Tovuti ya Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Morogoro

    Sanduku la Posta: S.L.P 650 MOROGORO

    Simu: +2550232934305

    Simu: +255719112299

    Barua pepe: ras.morogoro@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2024 Ofisi Ya Mkuu wa Mkoa Morogoro. Haki Zote Zimehifadhiwa.

  • AXL777
  • AXL777
  • AXL777
  • AXL777
  • AERO88
  • YAMITOTO
  • DORA77
  • DORA77
  • DORA77
  • YAMITOTO
  • Toto Slot Gacor
  • AXL777
  • AERO88
  • AXL777
  • Slot Gacor
  • Situs Slot Gacor
  • Toto Togel
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto Online
  • Situs Toto
  • KOI200
  • DORA77
  • Slot Gacor
  • Situs Toto
  • Toto Togel
  • DORA77
  • DORA77
  • AXL777
  • AXL777
  • KOI200
  • KOI200
  • NABITOTO
  • NABITOTO
  • NABITOTO
  • NABITOTO
  • AERO88
  • Slot Gacor
  • Slot Gacor
  • Slot Gacor
  • Slot Gacor
  • Toto
  • Toto
  • AXL777
  • AXL777
  • AXL777
  • Toto Slot Gacor
  • Toto Slot Gacor
  • Toto Slot Gacor
  • Toto Slot Gacor
  • Toto Slot Gacor
  • Toto Slot Gacor
  • Toto Slot Gacor
  • Toto Slot Gacor
  • Toto Slot Gacor
  • Toto Slot Gacor
  • slot gacor
  • koi200
  • ufabet
  • ufabet
  • ufabet
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200
  • AXL777
  • AXL777
  • AXL777
  • AXL777
  • Situs Toto
  • situs toto
  • Toto Slot Gacor
  • AERO88 Slot Gacor
  • Slot Gacor
  • Slot Gacor
  • AERO88
  • Situs Toto
  • situs toto
  • slot gacor
  • situs toto
  • yamitoto
  • kudetabet98
  • kudetabet98
  • yamitoto
  • situs toto
  • koi200
  • aero88
  • yamitoto
  • situs toto
  • dora77
  • situs toto
  • aero88
  • aero88
  • dora77
  • dora77
  • slot gacor
  • axl777
  • axl777
  • yamitoto
  • axl777
  • axl777
  • axl777
  • axl777
  • axl777
  • axl777
  • yamitoto
  • axl777
  • aero88
  • dora77
  • yamitoto
  • dora77