• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
Mkoa wa Morogoro
Mkoa wa Morogoro

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Morogoro

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Maelezo ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Sehemu na Vitengo
      • Utawala na Rasilimali
      • Serikali za Mitaa
      • Uhasibu na Fedha
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Sheria
      • TEHAMA
      • Afya
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Kitengo cha Habari na Mawasiliano Serikalini
  • Wilaya
    • Morogoro
    • Mvomero
    • Gairo
    • Kilosa
    • Kilombero
    • Ulanga
    • Malinyi
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Morogoro
    • Morogoro DC
    • Mvomero
    • Gairo
    • Ulanga
    • Malinyi
    • Mlimba
    • Ifakara Mji
    • Kilosa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uchimbaji wa Madini
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
    • Huduma za Ugavi
  • Machapisho
    • Miongozo Mbalimbali
    • Majarida
    • Fomu Mbalimbali
    • Ripoti mbalimbali
    • Mpango Mkakati
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Videos
    • Hotuba
    • Picha

WAZAZI, WALEZI WATAKIWA KUSHIRIKIANA NA SERIKALI KUIMARISHA MALEZI NA MAADILI YA WATOTO

Posted on: May 16th, 2023

Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Mhe. Fatma Mwassa amewataka wazazi, walezi, walimu na viongozi wote wa Serikali Mkoani Morogoro kushirikiana katika kuimarisha malezi na maadili mema kwa watoto katika Mkoa huo.

Mkuu huyo wa Mkoa ametoa kauli hiyo Mei 15 mwaka huu wakati akizungumza na Viongozi, Wazazi, Walezi, Walimu na wanafunzi kwenye maadhimisho ya siku ya Familia duniani ambayo kimkoa yamefanyika katika viwanja vya shule ya msingi Mwere iliyopo katika Halmashauri ya Manispaa ya Morogoro.

Mhe. Fatma Mwassa amebainisha mambo mbalimbali ambayo yanapelekea mmomonyoko wa maadili kwa watoto ikiwemo ukuaji wa teknolojia, changamoto za uchumi, kuvunjika kwa ndoa na mambo mengine yanayofanana na hayo.

“...walimu, wazazi tushirikiane kukabiliana na mabaladhuri wanaoharibu watoto...” amesema Mhe. Fatma Mwassa.

Sambamba na hilo, Mkuu huyo wa Mkoa amewataka wazazi, walezi na jamii kwa ujumla kutowafumbia macho wale wote wanaofanya vitendo vya ukatili kwa watoto badala yake watoe taarifa kwa mamlaka husika ili hatua za kisheria zichukuliwe dhidi yao.

Kwa upande wake Askofu wa Kanisa la TAG amewataka wazazi kutowaonea haya ndugu zao ambao wanafanya vitendo vya ukatili kwa watoto kwa kuhofia kutengwa na ndugu hao.

Wakihojiwa kwa nyakati tofauti wanafunzi waliohudhuria maadhimisho hayo akiwemo Jane John anayesoma kidato cha tatu katika shule ya Sekondari ya Morogoro ameeleza madhara ya vitendo vya ukatili kwa watoto na kutoa ushauri kwa wazazi na walezi kuongeza umakini juu yao ili kuwaepusha na vitendo hivyo vya kikatili.

MWISHO.

Matangazo

  • MATOKEO YA DARASA LA SABA 2024 October 30, 2024
  • View All

Habari Mpya

  • RC MALIMA AKEMEA ULANGUZI WA MAZAO.

    May 08, 2025
  • WAAJIRI MOROGORO WATAKIWA KUTATUA CHANGAMOTO ZA WAFANYA KAZI WAO.

    May 01, 2025
  • SERIKALI KUJENGA BARABARA YA LUPILO – MALINYI KWA KIWANGO CHA LAMI, Bil. 18 ZATOLEWA KUJENGA MADARAJA MAWILI.

    April 25, 2025
  • MWENGE WA UHURU 2025 WATAJA TUNU NNE ZA TAIFA.

    April 19, 2025
  • View All

Video

Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Mhe. Adam Kighoma Malima akikagua ujenzi wa jengo la ofisi mpya ya Mkuu wa Mkoa.
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Maelezo ya Mkoa
  • Tangazo la Zabuni
  • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
  • Hotuba
  • Taarifa kwa Umma

Kurasa Mashuhuri

  • Tovuti ya Tanzania
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • TAMISEMI
  • Ikulu
  • Katibu Mkuu Kiongozi
  • Tovuti ya Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Morogoro

    Sanduku la Posta: S.L.P 650 MOROGORO

    Simu: +2550232934305

    Simu: +255766828252

    Barua pepe: ras.morogoro@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2024 Ofisi Ya Mkuu wa Mkoa Morogoro. Haki Zote Zimehifadhiwa.