• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
Mkoa wa Morogoro
Mkoa wa Morogoro

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Morogoro

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Maelezo ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Sehemu na Vitengo
      • Utawala na Rasilimali
      • Serikali za Mitaa
      • Uhasibu na Fedha
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Sheria
      • TEHAMA
      • Afya
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Kitengo cha Habari na Mawasiliano Serikalini
  • Wilaya
    • Morogoro
    • Mvomero
    • Gairo
    • Kilosa
    • Kilombero
    • Ulanga
    • Malinyi
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Morogoro
    • Morogoro DC
    • Mvomero
    • Gairo
    • Ulanga
    • Malinyi
    • Mlimba
    • Ifakara Mji
    • Kilosa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uchimbaji wa Madini
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
    • Huduma za Ugavi
  • Machapisho
    • Miongozo Mbalimbali
    • Majarida
    • Fomu Mbalimbali
    • Ripoti mbalimbali
    • Mpango Mkakati
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Videos
    • Hotuba
    • Picha

WAZIRI BASHUNGWA ATOA MIEZI MIWILI KWA WAKANDARASI.

Posted on: February 24th, 2024

WAZIRI BASHUNGWA ATOA MIEZI MIWILI KWA WAKANDARASI


Waziri wa Ujenzi Mhe. Innocent Bashungwa amemuagiza mkandarasi anayejenga Barabara ya Kidatu – Ifakara kwa kiwango cha lami, yenye urefu wa Km 66.9  inayojumuisha ujenzi wa Daraja la mto Ruaha, lenye urefu wa Mita 133 kukamilisha ujenzi huo ndani ya mienzi miwili kuanzia Februari 23 mwaka huu.


Waziri Bashungwa ametoa agizo hilo Februari 23, 2024 wakati wa ziara yake ya siku Nne Mkoani Morogoro ambapo Februari 23, 2024 amefanya ziara katika Wilaya ya Kilosa na Kilombero na kutembelea miradi mbalimbali ya Barabara na madaraja.

Akikagua ujenzi wa Daraja la mto Ruaha, Waziri Bashungwa amesema hataki kusikia wala kupelekewa ombi la kuongezewa tena muda kwa kwa kisingizio cha mvua kwa kuwa amesema Mkandarasi wakati anaweka mkataba huo walijua pia kuwa kuna kipindi cha kiangazi na kipindi cha mvua.

“ kama nilivyosema sitaki Additional cost kwa sababu ya mvua, kwa sababu mkandarasi wakati anaweka mkataba alijua kuwa mvua zitanyesha” amesema Mhe. Bashungwa.

Waziri amebainisha kuwa Daraja hilo litafungua uchumi wa wakazi wa Mikoa ya Morogoro, Njombe, Iringa na Ruvuma kwa kuwa Barabara hiyo inapita kwenye eneo lenye uzalishaji mkubwa wa mazao ya chakula na biashara.

Hata hivyo amesema maono ya Dkt. Samia Suluhu Hassan Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ni kutaka Barabara hiyo ianzie Bandari ya Tanga hadi Mkoa wa Njombe kupitia Turiani, Dumila Rudewa na Kilosa Mjini. Aidha, Barabara hiyo ambayo inajengwa kwa awamu itaendelea Kwenda Mikumi, Ifakara, Mbingu hadi Kibena na Lupembe Mkoani Njombe.

Akiwa Wilayani Kilombero Waziri Bashungwa ametembelea mradi wa Barabara ya Ifakara - Mbingu yenye urefu wa km 62.5 ambapo pia ametoa miezi miwili kwa Kampuni ya HENAN kutoka  nchini China, kuhakikisha analeta mitambo, watumishi na vifaa vingine muhim ili kuanza ujenzi wa Barabara hiyo mara moja.

Kwa upande wake Mkuu wa MKoa wa Morogoro Mhe. Adam Kigoma Malima amesema, ujenzi wa Daraja la mto Ruaha ni muhim sana kwa Uchumi wa nchi na ndio maana Mkoa pia unaufuatilia kwa karibu na kuusimammia kwa nguvu zote.

MWISHO

Matangazo

  • MATOKEO YA DARASA LA SABA 2024 October 30, 2024
  • View All

Habari Mpya

  • RC MALIMA AKEMEA ULANGUZI WA MAZAO.

    May 08, 2025
  • WAAJIRI MOROGORO WATAKIWA KUTATUA CHANGAMOTO ZA WAFANYA KAZI WAO.

    May 01, 2025
  • SERIKALI KUJENGA BARABARA YA LUPILO – MALINYI KWA KIWANGO CHA LAMI, Bil. 18 ZATOLEWA KUJENGA MADARAJA MAWILI.

    April 25, 2025
  • MWENGE WA UHURU 2025 WATAJA TUNU NNE ZA TAIFA.

    April 19, 2025
  • View All

Video

Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Mhe. Adam Kighoma Malima akikagua ujenzi wa jengo la ofisi mpya ya Mkuu wa Mkoa.
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Maelezo ya Mkoa
  • Tangazo la Zabuni
  • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
  • Hotuba
  • Taarifa kwa Umma

Kurasa Mashuhuri

  • Tovuti ya Tanzania
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • TAMISEMI
  • Ikulu
  • Katibu Mkuu Kiongozi
  • Tovuti ya Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Morogoro

    Sanduku la Posta: S.L.P 650 MOROGORO

    Simu: +2550232934305

    Simu: +255766828252

    Barua pepe: ras.morogoro@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2024 Ofisi Ya Mkuu wa Mkoa Morogoro. Haki Zote Zimehifadhiwa.