• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
Mkoa wa Morogoro
Mkoa wa Morogoro

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Morogoro

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Maelezo ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Sehemu na Vitengo
      • Utawala na Rasilimali
      • Serikali za Mitaa
      • Uhasibu na Fedha
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Sheria
      • TEHAMA
      • Afya
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Kitengo cha Habari na Mawasiliano Serikalini
  • Wilaya
    • Morogoro
    • Mvomero
    • Gairo
    • Kilosa
    • Kilombero
    • Ulanga
    • Malinyi
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Morogoro
    • Morogoro DC
    • Mvomero
    • Gairo
    • Ulanga
    • Malinyi
    • Mlimba
    • Ifakara Mji
    • Kilosa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uchimbaji wa Madini
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
    • Huduma za Ugavi
  • Machapisho
    • Miongozo Mbalimbali
    • Majarida
    • Fomu Mbalimbali
    • Ripoti mbalimbali
    • Mpango Mkakati
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Videos
    • Hotuba
    • Picha

Waziri Silaa aagiza minara 758 kukamilika Mei 12, 2025.

Posted on: March 14th, 2025

Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari Mhe. Jerry Silaa ameyaagiza makampuni ya mawasiliano ya simu hapa nchini kukamilisha ujenzi wa minara ya mawasiliano 758 inayoendelea kujengwa kote nchini kukamilika ujenzi huo kabla au ifikapo Mei 12 Mwaka huu.


Mhe. Silaa ametoa agizo hilo Machi 14, Mwaka huu alipotembelea kijiji cha Idete Wilayani Kilosa Mkoani Morogoro ikiwa ni ziara yake ya kikazi ya siku moja Mkoani humo.


Akifafanua zaidi, Waziri Silaa amesema minara hiyo itawafikia watanzania zaidi ya Milioni 8.5 wa Mikoa tofauti tofauti huku Mkoa wa Morogoro ukiwa na minara 69 inayojengwa katika Kata 65 yenye Vijiji 169 katika Wilaya 7 za Mkoa huo, ambapo mpaka sasa  minara 24 imekamilika na wananchi kuanza kutumia.


"Kupitia mradi wa ujenzi wa minara 758, jumla ya minara 69 itajengwa katika kata 65 yenye vijiji 169 vya Wilaya 7 za Mkoa wa Morogoro, ambapo mpaka sasa jumla ya minara

24 imekwisha washwa..." amesema Mhe. Jerry Silaa.


Kwa upande wake, Afisa Mtendaji Mkuu wa Mfuko wa Mawasiliano kwa Wote (UCSAF)  Mhandisi Peter Mwasalyanda amesema Wilaya ya Kilosa ina ujenzi wa minara 18 ambapo minara 9 kati yake imekamilika na kuanza kutumika na mnara wa Kijiji cha  Idete unatarajiwa kukamilika Aprili 1 Mwaka huu.


Naye, Mkuu wa Wilaya ya Kilosa Mhe. Shaka Hamdu Shaka amesema ujenzi wa mnara wa kidete umetoa ajira kwa vijana wa kijiji hicho kwa kushiriki ujenzi huo huku akiwataka wananchi kuendelea kuitunza na kuwa walinzi wa miradi hiyo inayojengwa ambayo Serikali ya awamu ya sita chini ya uongozi wa Rais Samia Suluhu Hassan imewekeza kwa ajili yao.


Nao wananchi wa Kijiji cha Idete akiwemo Bi. Happiness Mkilani ameishukuru serikali ya awamu ya sita kwa kuona umuhimu wa kuwajengea minara ya simu itakayowasaidia katika mawasiliano changamoto ambayo imewasumbua kwa muda mrefu Kijijini hapo.


Mwisho

Matangazo

  • MATOKEO YA DARASA LA SABA 2024 October 30, 2024
  • TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI. May 13, 2025
  • View All

Habari Mpya

  • RC MALIMA ASHIRIKI MATEMBEZI YA HISANI, ASEMA HOSPITALI YA RUFAA INAHIMILI WAGONJWA.

    May 17, 2025
  • VYAMA VYA SIASA NCHINI VYATAHADHARISHWA

    May 15, 2025
  • RC MALIMA ATAKA VYAMA VYA USHIRIKA VYA WAFUGAJI

    May 15, 2025
  • Vyama vya Ushirika Vyatakiwa Kutumia TEHAMA

    May 14, 2025
  • View All

Video

Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Mhe. Adam Kighoma Malima akikagua ujenzi wa jengo la ofisi mpya ya Mkuu wa Mkoa.
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Maelezo ya Mkoa
  • Tangazo la Zabuni
  • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
  • Hotuba
  • Taarifa kwa Umma

Kurasa Mashuhuri

  • Tovuti ya Tanzania
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • TAMISEMI
  • Ikulu
  • Katibu Mkuu Kiongozi
  • Tovuti ya Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Morogoro

    Sanduku la Posta: S.L.P 650 MOROGORO

    Simu: +2550232934305

    Simu: +255766828252

    Barua pepe: ras.morogoro@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2024 Ofisi Ya Mkuu wa Mkoa Morogoro. Haki Zote Zimehifadhiwa.