• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
Mkoa wa Morogoro
Mkoa wa Morogoro

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Morogoro

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Maelezo ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Sehemu na Vitengo
      • Utawala na Rasilimali
      • Serikali za Mitaa
      • Uhasibu na Fedha
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Sheria
      • TEHAMA
      • Afya
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Kitengo cha Habari na Mawasiliano Serikalini
  • Wilaya
    • Morogoro
    • Mvomero
    • Gairo
    • Kilosa
    • Kilombero
    • Ulanga
    • Malinyi
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Morogoro
    • Morogoro DC
    • Mvomero
    • Gairo
    • Ulanga
    • Malinyi
    • Mlimba
    • Ifakara Mji
    • Kilosa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uchimbaji wa Madini
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
    • Huduma za Ugavi
  • Machapisho
    • Miongozo Mbalimbali
    • Majarida
    • Fomu Mbalimbali
    • Ripoti mbalimbali
    • Mpango Mkakati
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Videos
    • Hotuba
    • Picha

WAZIRI WA DENMARK ASISITIZA WATANZANIA KUTUNZA MAZINGIRA.

Posted on: April 5th, 2024

Waziri wa Denmark asisitiza watanzania kutunza mazingira


Waziri wa Denmark  anayeshughulikia Ushirikiano wa Maendeleo na Sera ya Hali ya Hewa Nchini humo Mhe. Dan Jorgensen ametaka watanzania kuendelea kutunza mazingira ili kupunguza athari zinazotokana na mabadiliko ya tabianchi (Climate change).

Mhe. Jorgensen ametoa nasaha hizo Aprili 4, 2024, alipofanya ziara ya kikazi Wilayani Kilombero Mkoani Morogoro katika hifadhi ya milima ya Udzungwa pamoja na kutembelea shughuli nyingine za maendeleo.

Katika ziara hiyo ambayo aliambatana pia na Balozi wa Denmark hapa Nchini Mhe. Mette Stipend amesema ni vema watanzania wakaendeleza tabia ya kutunza mazingira ikiwa ni pamoja na upandaji miti ili mazingira ya Tanzania yafanane na hali ya milima ya Hifadhi ya Udzungwa na kupongeza hali hiyo.



Katika hatuanyingine Waziri huyo ameonekana kufurahishwa na kazi nzuri zinazofanywa na Serikali ya Tanzania ya awamu ya sita inayoongozwa na Dkt. Samia Suluhu Hassan ikiwemo ajenda ya utunzaji wa mazingira pamoja na kuweka mazingira mazuri ya Utalii.

Moja ya shughuli za maendeleo alizozitembelea ambazo ziko Wilayani Kilombero ni pamoja na mradi wa nyuki wa kikundi cha Njokomoni cha Mang'ula kinachozalisha Asali na utunzaji wa Nyuki, Mradi wa njia ya Tembo (Step) na Kituo cha utafiti cha Udzungwa.


Pia Waziri huyo alitembelea Kiwanda cha Sukari cha Kilombero na kupongeza uwekezaji wa Bilion 600 wa ujenzi wa kiwanda kipya (K4).

Aidha, alipata wasaa wa kutembelea Hifadhi ya Milima ya Udzungwa na kufurahishwa na mandhari ya milima hiyo na kuahidi kuwa atakuwa Balozi wa kuvutia watalii wa kutoka nchini kwao hapa Tanzania hususan kutembelea Hifadhi hiyo.


MWISHO

Matangazo

  • MATOKEO YA DARASA LA SABA 2024 October 30, 2024
  • TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI. May 13, 2025
  • View All

Habari Mpya

  • MSEMAJI MKUU WA SERIKALI AWATAKA MAAFISA HABARI KUFANYA KAZI ZAO KIMKAKATI.

    May 26, 2025
  • MWAROBAINI WA CHANGAMOTO YA MAJI MOROGORO HII HAPA, RC MALIMA ATOA MAAGIZO.

    May 24, 2025
  • UZALISHAJI WA MAZIWA KUCHANGIA BIL. 18 KWA MWAKA MOROGORO

    May 23, 2025
  • MAAFISA HABARI TOENI UFAFANUZI DHIDI YA UPOTOSHAJI- MCHENGERWA

    May 23, 2025
  • View All

Video

Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Mhe. Adam Kighoma Malima akikagua ujenzi wa jengo la ofisi mpya ya Mkuu wa Mkoa.
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Maelezo ya Mkoa
  • Tangazo la Zabuni
  • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
  • Hotuba
  • Taarifa kwa Umma

Kurasa Mashuhuri

  • Tovuti ya Tanzania
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • TAMISEMI
  • Ikulu
  • Katibu Mkuu Kiongozi
  • Tovuti ya Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Morogoro

    Sanduku la Posta: S.L.P 650 MOROGORO

    Simu: +2550232934305

    Simu: +255766828252

    Barua pepe: ras.morogoro@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2024 Ofisi Ya Mkuu wa Mkoa Morogoro. Haki Zote Zimehifadhiwa.