• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
Mkoa wa Morogoro
Mkoa wa Morogoro

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Morogoro

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Maelezo ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Sehemu na Vitengo
      • Utawala na Rasilimali
      • Serikali za Mitaa
      • Uhasibu na Fedha
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Sheria
      • TEHAMA
      • Afya
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Kitengo cha Habari na Mawasiliano Serikalini
  • Wilaya
    • Morogoro
    • Mvomero
    • Gairo
    • Kilosa
    • Kilombero
    • Ulanga
    • Malinyi
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Morogoro
    • Morogoro DC
    • Mvomero
    • Gairo
    • Ulanga
    • Malinyi
    • Mlimba
    • Ifakara Mji
    • Kilosa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uchimbaji wa Madini
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
    • Huduma za Ugavi
  • Machapisho
    • Miongozo Mbalimbali
    • Majarida
    • Fomu Mbalimbali
    • Ripoti mbalimbali
    • Mpango Mkakati
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Videos
    • Hotuba
    • Picha

Wito watolewa kwa Maafisa habari Nchini.

Posted on: August 29th, 2021

Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Kilosa Mhe. Kisena Mabuba ametoa wito kwa Maasifa Habari na Mawasiliano wa Serikali nchini kutimiza wajibu wao ili kutekeleza majukumu ya kuisemea Serikali.


Wito huo umetolewa Kilosa, Mkoani Morogoro wakati wa ziara ya Uongozi wa Chama cha Maafisa Habari na Mawasiliano wa Serikali pamoja na Idara ya Habari- MAELEZO walipotembelea Halmashauri hiyo kwa lengo la kuimarisha utendaji kazi wa Maafisa Habari.

Mhe. Mabuba amesema, kuna changamoto kwa baadhi ya Maafisa Habari katika kutekeleza wajibu wao na hii kupelekea wananchi kutokujua yanayofanywa na serikali yao.


“Nimekuwa mdau wa habari kwa miaka mingi, nimeishi na kuiheshimu taaluma hii ya habari, naamini Chama hiki kitatatua changamoto zinazoikabili taaluma hii ili kuweza kutimiza wajibu wa kuisemea serikali” amesisitiza Mhe. Mabuba.

Ameongeza kuwa, kwa miaka takribani minne aliyotumika kwenye nafasi aliyopo hakuwahi kuona Viongozi wa TAGCO wakitembelea vitengo vya habari, hivyo ujio huo utakuwa na manufaa katika ofisi mbalimbali za habari ndani ya Serikali.


Aidha, Mhe. Mabuba amefafanua kuwa, katika uongozi wake Ofisi ya Habari ataipa kipaumbele kwani kupitia Ofisi hiyo wananchi wanaelewa na kujua kile kinachotekelezwa na serikali katika Halmashauri yake.

Kwa upande wake Mjumbe wa Kamati Tendaji kutoka TAGCO Bw. Karimu Meshack amesisitiza kuwa, ni vyema Maafisa habari kutumia mbinu za kisasa kuwasiliana na wananchi katika maeneo yao kwa kutoa taarifa za miradi yote inayotekelezwa na ile inayoendelea kutekelezwa na serikali.


“Tutumie vyombo vyote tulivyonavyo kwa mfano, mitandao ya kijamii, blogs, website, magazeti na redio hasa za kijamii kwa kuwa wananchi wanahitaji kusikia yanayofanywa na serikali yao kwa maslahi mapana ya nchi” amefafanua Bw. Meshack.


Uongozi wa Chama cha Maafisa Mawasiliano wa Serikali  (TAGCO), Mwakilishi Idara ya Habari - MAELEZO upo Mkoani Morogoro kwa lengo la  Kufuatilia utendaji kazi wa maafisa habari katika Halmashauri za Mkoa huo, na kuweka mikakati ya pamoja katika kuimarisha mawasiliano baina ya Serikali na wananchi.

Matangazo

  • MATOKEO YA DARASA LA SABA 2024 October 30, 2024
  • View All

Habari Mpya

  • RC MALIMA AKEMEA ULANGUZI WA MAZAO.

    May 08, 2025
  • WAAJIRI MOROGORO WATAKIWA KUTATUA CHANGAMOTO ZA WAFANYA KAZI WAO.

    May 01, 2025
  • SERIKALI KUJENGA BARABARA YA LUPILO – MALINYI KWA KIWANGO CHA LAMI, Bil. 18 ZATOLEWA KUJENGA MADARAJA MAWILI.

    April 25, 2025
  • MWENGE WA UHURU 2025 WATAJA TUNU NNE ZA TAIFA.

    April 19, 2025
  • View All

Video

Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Mhe. Adam Kighoma Malima akikagua ujenzi wa jengo la ofisi mpya ya Mkuu wa Mkoa.
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Maelezo ya Mkoa
  • Tangazo la Zabuni
  • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
  • Hotuba
  • Taarifa kwa Umma

Kurasa Mashuhuri

  • Tovuti ya Tanzania
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • TAMISEMI
  • Ikulu
  • Katibu Mkuu Kiongozi
  • Tovuti ya Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Morogoro

    Sanduku la Posta: S.L.P 650 MOROGORO

    Simu: +2550232934305

    Simu: +255766828252

    Barua pepe: ras.morogoro@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2024 Ofisi Ya Mkuu wa Mkoa Morogoro. Haki Zote Zimehifadhiwa.