• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
Mkoa wa Morogoro
Mkoa wa Morogoro

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Morogoro

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Maelezo ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Sehemu na Vitengo
      • Utawala na Rasilimali
      • Serikali za Mitaa
      • Uhasibu na Fedha
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Sheria
      • TEHAMA
      • Afya
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Kitengo cha Habari na Mawasiliano Serikalini
  • Wilaya
    • Morogoro
    • Mvomero
    • Gairo
    • Kilosa
    • Kilombero
    • Ulanga
    • Malinyi
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Morogoro
    • Morogoro DC
    • Mvomero
    • Gairo
    • Ulanga
    • Malinyi
    • Mlimba
    • Ifakara Mji
    • Kilosa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uchimbaji wa Madini
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
    • Huduma za Ugavi
  • Machapisho
    • Miongozo Mbalimbali
    • Majarida
    • Fomu Mbalimbali
    • Ripoti mbalimbali
    • Mpango Mkakati
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Videos
    • Hotuba
    • Picha

Wito watolewa kwa vijana kupata elimu ya ufundi stadi.

Posted on: August 23rd, 2023

Vijana Mkoani Morogoro wametakiwa kujitokeza kwenye matamasha yanayoandaliwa kufanyika Mkoani humo  lakini zaidi kupata Elimu ya Ufundi Stadi  ili kuweza kujiajiri na hivyo kukuza uchumi wao, wa familia zao na Uchumi wa Taifa kwa jumla.

Wito huo umetolewa Agosti 23 mwaka huu na Meneja  wa shirika la Mtandao wa Vikundi vya Wakulima na Wafugaji Morogoro (MVIWAMORO) Bw. Samweli Makwatwa  wakati wa kikao kazi cha kutambulisha  Tamasha la Vijana linalotarajiwa kufanyika Mkoani humo mwezi Novemba mwaka huu.

Bw. Makwatwa amesema lengo la matamasha hayo ni kuwakutanisha vijana ambao wamepatiwa elimu ya ufundi stadi na kukuza ujuzi wao ili waweze kuonesha ujuzi huo kwa vijana wengine juu ya elimu waliyoipata ya ufundi stadi ili vijana wengine wahamasike na elimu hiyo.

Aidha, Meneja huyo ametoa wito kwa vijana kujikita katika kupata elimu ya ufundi stadi ambayo itawasaidia kujiajiri kuliko kutegemea ajira rasmi kutoka Serikalini.

Sambamba na hilo ameiomba Serikali kuwasaidia vijana kupata elimu hiyo kwa kuwa ndiyo njia pekee itakayowasidia kujikwamua kiuchumi kupitia kujiajiri.

Hawa ni baadhi ya wajumbe wa Sekretarieti ya Mkoa wa Morogoro wakiwa kwenye kikao.

Kwa upande wake Afisa Mawasiliano wa Mradi wa Opportunities for Youth Employment (OYE) Bi. Diana Meshy amesema mradi wa OYE umelenga kuwafikia Vijana 4,250 kutoka Mikoa ya Morogoro na Singida kwa kuwajengea uwezo wa kujiajiri kupitia mafunzo mbalimbali ya kilimo, ufugani na uvuvi.


Afisa Mawasiliano wa Mradi wa Opportunities for Youth Employment (OYE) Bi. Diana Meshy akizungumza wakati wa kikao cha kutambulisha tamasha la vijana.

Matamasha hayo yatafanyika katika Halmashauri tano za Mkoa wa Morogoro ikiwemo Halmashauri ya Wilaya ya Gairo, Halmashauri ya Wilaya ya Mvomero, Halmashauri ya Wilaya ya Kilosa, Halmashauri ya Manispaa ya Morogoro na Halmashauri ya Malinyi pamoja na matamasha hayo kufanyika ngazi ya Halmshauri pia kutakuwa na tamasha kubwa ngazi ya Mkoa ambalo litafanyika mwanzoni mwa Mwezi Novemba mwaka huu.

MWISHO.

Matangazo

  • MATOKEO YA DARASA LA SABA 2024 October 30, 2024
  • View All

Habari Mpya

  • RC MALIMA AKEMEA ULANGUZI WA MAZAO.

    May 08, 2025
  • WAAJIRI MOROGORO WATAKIWA KUTATUA CHANGAMOTO ZA WAFANYA KAZI WAO.

    May 01, 2025
  • SERIKALI KUJENGA BARABARA YA LUPILO – MALINYI KWA KIWANGO CHA LAMI, Bil. 18 ZATOLEWA KUJENGA MADARAJA MAWILI.

    April 25, 2025
  • MWENGE WA UHURU 2025 WATAJA TUNU NNE ZA TAIFA.

    April 19, 2025
  • View All

Video

Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Mhe. Adam Kighoma Malima akikagua ujenzi wa jengo la ofisi mpya ya Mkuu wa Mkoa.
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Maelezo ya Mkoa
  • Tangazo la Zabuni
  • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
  • Hotuba
  • Taarifa kwa Umma

Kurasa Mashuhuri

  • Tovuti ya Tanzania
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • TAMISEMI
  • Ikulu
  • Katibu Mkuu Kiongozi
  • Tovuti ya Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Morogoro

    Sanduku la Posta: S.L.P 650 MOROGORO

    Simu: +2550232934305

    Simu: +255766828252

    Barua pepe: ras.morogoro@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2024 Ofisi Ya Mkuu wa Mkoa Morogoro. Haki Zote Zimehifadhiwa.