• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
Mkoa wa Morogoro
Mkoa wa Morogoro

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Morogoro

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Maelezo ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Sehemu na Vitengo
      • Utawala na Rasilimali
      • Serikali za Mitaa
      • Uhasibu na Fedha
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Sheria
      • TEHAMA
      • Afya
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Kitengo cha Habari na Mawasiliano Serikalini
  • Wilaya
    • Morogoro
    • Mvomero
    • Gairo
    • Kilosa
    • Kilombero
    • Ulanga
    • Malinyi
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Morogoro
    • Morogoro DC
    • Mvomero
    • Gairo
    • Ulanga
    • Malinyi
    • Mlimba
    • Ifakara Mji
    • Kilosa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uchimbaji wa Madini
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
    • Huduma za Ugavi
  • Machapisho
    • Miongozo Mbalimbali
    • Majarida
    • Fomu Mbalimbali
    • Ripoti mbalimbali
    • Mpango Mkakati
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Videos
    • Hotuba
    • Picha

WITO WATOLEWA KWA WAFANYABIASHARA KUSAJILI BIASHARA ZAO BRELA.

Posted on: March 21st, 2024

Wito umetolewa kwa wafanyabiashara hapa nchini kusajili biashara zao ili kupata leseni za biashara hizo kwa lengo la kutambulika na Serikali na kupata taarifa sahihi mahali zilipo, kujua mwenendo wa biashara hizo na Serikali kuelekeza fedha zake kwa wafanyabiashara hao wanaotambulika rasmi.

Wito huo umetolewa Machi 20, 2024 na Mkurugenzi wa Miliki Ubunifu kutoka Wakala wa Usajili wa Biashara na Leseni (BRELA) Bi. Loi Mhando wakati wa maonesho ya ujasiliamali kwa wanajumuiya ya Chuo kikuu cha Mzumbe kilichopo Wilaya Mvomero Mkoani Morogoro kuelekea siku yao ya Mzumbe (Mzumbe Day) inayofanyika chuoni hapo kila mwaka.

Bi. Mhando akifafanua zaidi amesema, wafanyabiashara hawana budi kusajili biashara zao na kupata leseni za biashara wanazofanya, lakini pia kuwa na usajili wa alama za biashara na huduma na utoaji wa leseni za biashara na viwanda huku akibainisha kazi mbalimbali zinazofanywa na BRELA kuwa ni pamoja na kusajili makampuni.

“….Sisi tunatoa wito kwa wakazi wa Morogoro na viunga vyake kurasimisha biashara zao pia wafike Chuo kikuu cha Mzumbe watapata huduma zote zinazotolewa na BRELA” amesema Bi. Loi Mhando.

Katika hatua nyingine Bi. Mhando amesema lengo la kuwepo ndani ya siku tatu katika chuo Kikuu cha Mzumbe ni kutoa elimu kwa wanachuo na wahadhiri kuhusu huduma zinazotolewa na BRELA hususan umuhimu wa kurasimisha biashara kwa wafanyabiashara.

Kwa upande wao wanachuo wa chuo hicho cha mzumbe akiwemo Idi Mohamed amesema kuna urahisi wa kuanzisha biashara na kuirasimisha lengo ni kupata rasmi ulinzi wa kisheria na kumsaidia mfanyabiashara kuondokana na changamoto za kibiashara zinazoweza kujitokeza.

Maonesho hayo ya Ujasiliamali kuelekea Mzumbe Day yana lengo la kuhamasisha kazi za ujasiriamali kwa wanachuo na wahadhiri na yanafanyika kwa siku tatu kuanzia machi 20 hadi 23, 2024.

MWISHO.






Matangazo

  • MATOKEO YA DARASA LA SABA 2024 October 30, 2024
  • View All

Habari Mpya

  • RC MALIMA AKEMEA ULANGUZI WA MAZAO.

    May 08, 2025
  • WAAJIRI MOROGORO WATAKIWA KUTATUA CHANGAMOTO ZA WAFANYA KAZI WAO.

    May 01, 2025
  • SERIKALI KUJENGA BARABARA YA LUPILO – MALINYI KWA KIWANGO CHA LAMI, Bil. 18 ZATOLEWA KUJENGA MADARAJA MAWILI.

    April 25, 2025
  • MWENGE WA UHURU 2025 WATAJA TUNU NNE ZA TAIFA.

    April 19, 2025
  • View All

Video

Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Mhe. Adam Kighoma Malima akikagua ujenzi wa jengo la ofisi mpya ya Mkuu wa Mkoa.
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Maelezo ya Mkoa
  • Tangazo la Zabuni
  • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
  • Hotuba
  • Taarifa kwa Umma

Kurasa Mashuhuri

  • Tovuti ya Tanzania
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • TAMISEMI
  • Ikulu
  • Katibu Mkuu Kiongozi
  • Tovuti ya Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Morogoro

    Sanduku la Posta: S.L.P 650 MOROGORO

    Simu: +2550232934305

    Simu: +255766828252

    Barua pepe: ras.morogoro@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2024 Ofisi Ya Mkuu wa Mkoa Morogoro. Haki Zote Zimehifadhiwa.