• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
Mkoa wa Morogoro
Mkoa wa Morogoro

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Morogoro

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Maelezo ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Sehemu na Vitengo
      • Utawala na Rasilimali
      • Serikali za Mitaa
      • Uhasibu na Fedha
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Sheria
      • TEHAMA
      • Afya
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Kitengo cha Habari na Mawasiliano Serikalini
  • Wilaya
    • Morogoro
    • Mvomero
    • Gairo
    • Kilosa
    • Kilombero
    • Ulanga
    • Malinyi
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Morogoro
    • Morogoro DC
    • Mvomero
    • Gairo
    • Ulanga
    • Malinyi
    • Mlimba
    • Ifakara Mji
    • Kilosa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uchimbaji wa Madini
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
    • Huduma za Ugavi
  • Machapisho
    • Miongozo Mbalimbali
    • Majarida
    • Fomu Mbalimbali
    • Ripoti mbalimbali
    • Mpango Mkakati
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Videos
    • Hotuba
    • Picha

Zaidi ya Bil. 12 zatolewa kwa wanawake Mkoani Morogoro.

Posted on: March 8th, 2025



Serikali Mkoani Morogoro imetoa zaidi ya Tsh. Bil. 12 kwa ajili ya vikundi 440 vya akinamama na kuhusisha wafanyabiashara 7411 waliosajiliwa ili kuwawezesha wanawake na wasichana kukuza uchumi wao na familia zao.


Hayo yamebainishwa Machi 8, Mwaka huu na Mkuu wa Wilaya ya Kilombero Wakili Dunstan Kyobya ambaye alikuwa Mgeni rasmi kwenye kilele cha maadhimisho ya siku ya wanawake Duniani kwa niaba ya Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Mhe. Adam Kighoma Malima maadhimisho ambayo kimkoa yamefanyika katika Halmashauri ya Mji wa Ifakara.


"... Mkoa wa Morogoro umeshatoa zaidi ya shilingi bilioni 12 kwa ajili ya kina Mama..." amesema Mkuu huyo wa Wilaya


Aidha, Mhe. Kyobya amebainisha kuwa mkoani humo, wafanyabiashara wanawake waliothibitishwa ni zaidi ya 7,411, huku wafanyabiashara wanaume wakiwa 2,760. Takwimu hizi zinaonesha juhudi kubwa za wanawake katika kujitafutia riziki na kuchangia ustawi wa familia bora.


Katika hatua nyingine Wakili Dunstan Kyobya amesema, taasisi mbalimbali zinawajibu wa kutoa elimu ili kuepukana na matukio maovu ya ukatili wa kijinsia ikiwemo usagaji, ubakaji na ulawiti hivyo wanapaswa kuvikemea vitendo hivyo ili kutunza maadili katika jamii.


Kwa upande wao wanawake kupitia msoma risala wao Bi. Rosemary Ngonyani wamesema wanawake wameonesha umahili katika kuchukua mikopo yenye thamani ya zaidi ya shilingi bilioni 3, kupitia mfuko wa 10% ya mapato ya Halmashauri na mikopo mingine inayolenga kuimarisha uchumi.


Kwa upande wake, Mbunge wa Jimbo la Kilombero Mhe. Abubakar Asenga amekemea vikali vitendo vya ukatili wa kijinsia unoendelea ndani ya jamii yetu dhidi ya wanawake huku akiwataka wanawake hao na wasichana kufika katika ofisi husika 8kiwemo ofisi ya Mkuu wa Wilaya pale wanapofanyiwa vitendo hivyo ili sheria iweze kufuata mkondo wake.


Naye, Mratibu wa Miradi  kutoka Shirika la Uswisi Bi. Apaa Mwabena amesema kwa upande wao wamekuwa mstari wa mbele katika kuwawezesha wanawake kwenye ufundi stadibi kwa lengo la kuwapatia ajira wanawake hao na kujikwamua kimaisha.


Mwisho

Matangazo

  • MATOKEO YA DARASA LA SABA 2024 October 30, 2024
  • View All

Habari Mpya

  • RC MALIMA AKEMEA ULANGUZI WA MAZAO.

    May 08, 2025
  • WAAJIRI MOROGORO WATAKIWA KUTATUA CHANGAMOTO ZA WAFANYA KAZI WAO.

    May 01, 2025
  • SERIKALI KUJENGA BARABARA YA LUPILO – MALINYI KWA KIWANGO CHA LAMI, Bil. 18 ZATOLEWA KUJENGA MADARAJA MAWILI.

    April 25, 2025
  • MWENGE WA UHURU 2025 WATAJA TUNU NNE ZA TAIFA.

    April 19, 2025
  • View All

Video

Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Mhe. Adam Kighoma Malima akikagua ujenzi wa jengo la ofisi mpya ya Mkuu wa Mkoa.
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Maelezo ya Mkoa
  • Tangazo la Zabuni
  • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
  • Hotuba
  • Taarifa kwa Umma

Kurasa Mashuhuri

  • Tovuti ya Tanzania
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • TAMISEMI
  • Ikulu
  • Katibu Mkuu Kiongozi
  • Tovuti ya Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Morogoro

    Sanduku la Posta: S.L.P 650 MOROGORO

    Simu: +2550232934305

    Simu: +255766828252

    Barua pepe: ras.morogoro@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2024 Ofisi Ya Mkuu wa Mkoa Morogoro. Haki Zote Zimehifadhiwa.