• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
Mkoa wa Morogoro
Mkoa wa Morogoro

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Morogoro

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Maelezo ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Sehemu na Vitengo
      • Utawala na Rasilimali
      • Serikali za Mitaa
      • Uhasibu na Fedha
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Sheria
      • TEHAMA
      • Afya
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Kitengo cha Habari na Mawasiliano Serikalini
  • Wilaya
    • Morogoro
    • Mvomero
    • Gairo
    • Kilosa
    • Kilombero
    • Ulanga
    • Malinyi
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Morogoro
    • Morogoro DC
    • Mvomero
    • Gairo
    • Ulanga
    • Malinyi
    • Mlimba
    • Ifakara Mji
    • Kilosa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uchimbaji wa Madini
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
    • Huduma za Ugavi
  • Machapisho
    • Miongozo Mbalimbali
    • Majarida
    • Fomu Mbalimbali
    • Ripoti mbalimbali
    • Mpango Mkakati
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Videos
    • Hotuba
    • Picha

Zaidi ya Trilioni 10 zatumika ujenzi wa Reli ya SGR

Posted on: August 1st, 2024

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amesema mradi wa reli ya kisasa kipande cha Dar es salaam hadi Dodoma utagharimu zaidi ya Tsh. Trilioni 10 hadi kukamilika kwake.

Dkt. Samia amebainisha hayo Agosti Mosi mwaka huu wakati wa hafla fupi ya ukaguzi wa kituo cha treni cha reli ya kisasa (SGR) cha Morogoro, kipande cha Dar es Salaam hadi Dodoma.

Akifafanua zaidi Dkt. Samia amesema wakandarasi wanaendelea na ujenzi wa reli hiyo katika vipande vingine vilivyobaki hadi kuunganisha nchi Jirani za Burundi, Rwanda na Congo lengo likiwa ni kurahisi usafirishaji wa abiria na bidhaa mbalimbali.

“… tumeweka fedha nyingi kwenye mradi huu kipande cha Dodoma hadi Dar es Salaam ni zaidi ya trilioni 10 zimetumika…” amesema Mhe. Dkt Samia Suluhu Hassan.

Aidha, Mhe. Samia Suluhu amesema mradi huo ni muhimu kwa jamii kwani unarahisisha usafirishaji na usafirishwaji wa watu na bidhaa ili kukuza uzalishaji mali na kukuza biashara hususan wafanyabiashara katika kuongeza kipato kwa wafanyabiashara.

Kwa upande wake, Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Mhe. Adam Kighoma Malima amesema Mkoa wa Morogoro ni shahidi namba moja kwa kupata mafanikio makubwa ya reli ya SGR kwani mradi huo unatumika kwa wananchi wa aina mbalimbali wakiwemo abiria, wafanyabiashara, watumishi wa sekta za umma na serikali na wengine wengi.

Huduma ya treni ya reli ya kiwango cha kimataifa kutoka Dar es salaam hadi Dodoma imeanza tangu Julai 25, Mwaka huu ambapo imezinduliwa hivi leo na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan. Huku akiwasisitiza watu kuzalisha kwa wingi mazao ya kila aina ili kukuza uchumi wao kwa kuwa masoko yapo katika nchi hizo ambapo reli hiyo itafika.

MWISHO

Matangazo

  • MATOKEO YA DARASA LA SABA 2024 October 30, 2024
  • TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI. May 13, 2025
  • View All

Habari Mpya

  • Zaidi ya Mil. 125 zachangwa kupitia chakula cha hisani kukarabati Hospitali ya Rufaa Morogoro.

    May 18, 2025
  • RC MALIMA ASHIRIKI MATEMBEZI YA HISANI, ASEMA HOSPITALI YA RUFAA INAHIMILI WAGONJWA.

    May 17, 2025
  • VYAMA VYA SIASA NCHINI VYATAHADHARISHWA

    May 15, 2025
  • RC MALIMA ATAKA VYAMA VYA USHIRIKA VYA WAFUGAJI

    May 15, 2025
  • View All

Video

Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Mhe. Adam Kighoma Malima akikagua ujenzi wa jengo la ofisi mpya ya Mkuu wa Mkoa.
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Maelezo ya Mkoa
  • Tangazo la Zabuni
  • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
  • Hotuba
  • Taarifa kwa Umma

Kurasa Mashuhuri

  • Tovuti ya Tanzania
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • TAMISEMI
  • Ikulu
  • Katibu Mkuu Kiongozi
  • Tovuti ya Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Morogoro

    Sanduku la Posta: S.L.P 650 MOROGORO

    Simu: +2550232934305

    Simu: +255766828252

    Barua pepe: ras.morogoro@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2024 Ofisi Ya Mkuu wa Mkoa Morogoro. Haki Zote Zimehifadhiwa.