• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
Mkoa wa Morogoro
Mkoa wa Morogoro

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Morogoro

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Maelezo ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Sehemu na Vitengo
      • Utawala na Rasilimali
      • Serikali za Mitaa
      • Uhasibu na Fedha
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Sheria
      • TEHAMA
      • Afya
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Kitengo cha Habari na Mawasiliano Serikalini
  • Wilaya
    • Morogoro
    • Mvomero
    • Gairo
    • Kilosa
    • Kilombero
    • Ulanga
    • Malinyi
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Morogoro
    • Morogoro DC
    • Mvomero
    • Gairo
    • Ulanga
    • Malinyi
    • Mlimba
    • Ifakara Mji
    • Kilosa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uchimbaji wa Madini
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
    • Huduma za Ugavi
  • Machapisho
    • Miongozo Mbalimbali
    • Majarida
    • Fomu Mbalimbali
    • Ripoti mbalimbali
    • Mpango Mkakati
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Videos
    • Hotuba
    • Picha

ZIARA YA MAOFISA WA KIJESHI KUTOKA CHUO CHA TAIFA CHA ULINZI.

Posted on: January 16th, 2023

Januari 16, 2023 Mkoa wa Morogoro umepokea ujumbe wa Maofisa wa Kijeshi kutoka Chuo cha Taifa cha Ulinzi kilichoko Jijini Dar es Salaam Maofisa hao wapo Mkoani hapa kwa ajili ya mafunzo kwa vitendo katika maeneo mbalimbali ya Mkoa huo.

Maofisa wa Jeshi kutoka Chuo cha Ulinzi cha Taifa wakisaini kitabu cha wageni mara baada ya kuwasili katika Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Morogoro.

Akitambulisha ujumbe huo mbele ya Katibu Tawala wa Mkoa huo Dkt. Mussa Ali Mussa, Brigedia Jenerali Stephen Mnkande ambaye pia ndiye Kiongozi wa Msafara huo amesema lengo la ujio wao ni kufanya mafunzo kwa vitendo yanayoashiria kumalizika kwa muhula wa pili wa masomo ya chuo hicho kwa mwaka 2022/2023.

Aidha, Lengo mahususi amesema ni kutaka kujifunza zaidi masuala mbalimbali ya kisiasa, kijamii, kiuchumi, kilimo na viwanda yanavyo athiri usalama katika Maeneo wanayotembelea ukiwemo Mkoa wa Morogoro.

Katibu Tawala wa Mkoa wa Morogoro Dkt. Mussa Ali Mussa wakati akiwakaribisha Maofisa hao kwa niaba ya Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Mhe. Fatma Abubakar Mwassa amesema kupitia mafunzo yao Serikali ngazi ya Mkoa itachukua mapendekezo, mawazo na ushauri wao kwa ajili ya kuboresha namna ya kutatua changamoto katika utekelezaji wa majukumu ya kiserikali.

Maofisa hao wa kijeshi walioambatana na Maofisa wengine kutoka nchi za Nigeria, China, Burundi, Rwanda na wenyeji Tanzania wanafanya ziara hii ya mafunzo wakiwa tayari wamekamirisha ziara kama hiyo Mkoani Tanga iliyofanyika kwa siku sita.

MWISHO.

Katibu Tawala Mkoa wa Morogoro Dkt. Mussa Ali Mussa akitoa zawadi ya kitabu kwa Brigedia Jenerali Stephen Mnkande, kitabu hicho wasifu wa Mkoa wa Morogoro.



Dkt. Mussa Ali Mussa Katibu Tawala Mkoa wa Morogoro akipokea zawadi ya kalenda na Nembo ya Chuo cha Ulinzi cha Taifa kutoka kwa Brigedia Jenerali Stephen Mnkande baada ya kumalizika kwa kikao kifupi katika ukumbi wa mikutano Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Morogoro.



Katibu Tawala Mkoa wa Morogoro Dkt. Mussa Ali Mussa akiwa na Sekretarieti ya Mkoa kwenye picha ya pamoja na Maofisa wa Kijeshi kutoka Chuo cha Taifa cha Ulinzi baada ya kikao kifupi katika Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Morogoro.

Matangazo

  • MATOKEO YA DARASA LA SABA 2024 October 30, 2024
  • TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI. May 13, 2025
  • View All

Habari Mpya

  • Zaidi ya Mil. 125 zachangwa kupitia chakula cha hisani kukarabati Hospitali ya Rufaa Morogoro.

    May 18, 2025
  • RC MALIMA ASHIRIKI MATEMBEZI YA HISANI, ASEMA HOSPITALI YA RUFAA INAHIMILI WAGONJWA.

    May 17, 2025
  • VYAMA VYA SIASA NCHINI VYATAHADHARISHWA

    May 15, 2025
  • RC MALIMA ATAKA VYAMA VYA USHIRIKA VYA WAFUGAJI

    May 15, 2025
  • View All

Video

Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Mhe. Adam Kighoma Malima akikagua ujenzi wa jengo la ofisi mpya ya Mkuu wa Mkoa.
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Maelezo ya Mkoa
  • Tangazo la Zabuni
  • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
  • Hotuba
  • Taarifa kwa Umma

Kurasa Mashuhuri

  • Tovuti ya Tanzania
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • TAMISEMI
  • Ikulu
  • Katibu Mkuu Kiongozi
  • Tovuti ya Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Morogoro

    Sanduku la Posta: S.L.P 650 MOROGORO

    Simu: +2550232934305

    Simu: +255766828252

    Barua pepe: ras.morogoro@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2024 Ofisi Ya Mkuu wa Mkoa Morogoro. Haki Zote Zimehifadhiwa.