• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
Mkoa wa Morogoro
Mkoa wa Morogoro

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Morogoro

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Maelezo ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Sehemu na Vitengo
      • Utawala na Rasilimali
      • Serikali za Mitaa
      • Uhasibu na Fedha
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Sheria
      • TEHAMA
      • Afya
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Kitengo cha Habari na Mawasiliano Serikalini
  • Wilaya
    • Morogoro
    • Mvomero
    • Gairo
    • Kilosa
    • Kilombero
    • Ulanga
    • Malinyi
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Morogoro
    • Morogoro DC
    • Mvomero
    • Gairo
    • Ulanga
    • Malinyi
    • Mlimba
    • Ifakara Mji
    • Kilosa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uchimbaji wa Madini
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
    • Huduma za Ugavi
  • Machapisho
    • Miongozo Mbalimbali
    • Majarida
    • Fomu Mbalimbali
    • Ripoti mbalimbali
    • Mpango Mkakati
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Videos
    • Hotuba
    • Picha

ZINGATIENI SHERIA, KATIBA NA KANUNI YA VYAMA VYENU - MUTUNGI.

Posted on: May 14th, 2025



Msajili wa Vyama vya siasa nchini Jaji Francis Mutungi amewataka wajumbe wa Baraza la vyavya vya siasa hapa nchini kuhakikisha wanazingatia Sheria za nchi, Kanuni na Katiba za vyama vyao katika utendaji kazi wao ili kuepuka migogoro na migongano ya kisiasa ambayo husababisha uwepo wa hali mbaya ya kisiasa nchini.

Jaji Mutungi ametoa wito huo Leo Mei 14, wakati akifungua kikao cha kawaida cha Baraza la Vyama vya Siasa kilichofanyika katika ukumbi wa mikutano wa Hoteli ya Nashera uliyopo Halmashauri ya Manispaa ya Morogoro.

Kiongozi huyo amesema wanachama wa vyama vya siasa wanawajibu wa kuzingatia sheria za nchi  kanuni na katiba za vyama vyao ili kuhakikisha wanafanya yaliyo sahihi ili kuondokana na migogoro ndani ya vyama  na kuhakikisha maendeleo yanafanyika ndani ya chama na nje ya chama.

".. Nawasihi mzingatie Sheria za nchi, mzingatie katiba za vyama vyenu na sheria zinazosimamiwa na Baraza la vyama vya siasa.." ameisisitiza Jaji Francis Mutungi.

Kwa upande wake Mkurugenzi Mkuu wa Tume ya Ulinzi wa Taarifa Binafsi Dkt. Emmanuel Lameck ametoa wito kwa vyama vyote vya siasa visajiliwe kwenye Tume hiyo ili kuwezesha kuweka usiri wa faragha ya mtu jambo ambalo litaenda kuongeza imani kwa watu ndani ya vyama vya siasa kwa maslahi ya mtu mmoja na Taifa kwa ujumla.

Naye Mwenyekiti wa Chama cha Civic United Front (CUF) Prof. Ibrahim Lipumba ameishukuru tume hiyo kwa kuja na mafunzo hayo ambayo yataenda kuhakikisha faragha za wanachama wa vyama mbalimbli zinabadi kuwa siri pia  kutokana na maendeleo ya sayansi na teknolojia ni jukumu la vyama vya siasa kubadilika na kuhakikisha taarifa binafsi za kila mwananchama zinatunzwa na kuwa siri ili zisitumike vibaya.

MWISHO.

Matangazo

  • MATOKEO YA DARASA LA SABA 2024 October 30, 2024
  • TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI. May 13, 2025
  • View All

Habari Mpya

  • Vyama vya Ushirika Vyatakiwa Kutumia TEHAMA

    May 14, 2025
  • ZINGATIENI SHERIA, KATIBA NA KANUNI YA VYAMA VYENU - MUTUNGI.

    May 14, 2025
  • WANAFUNZI 214 WA KIDATO CHA KWANZA SEKONDARI ZA MONGOLA, MGETA WAPEWA MICHE 2140 YA MIKARAFUU

    May 13, 2025
  • RC MALIMA ATOA WITO KWA WANANCHI KUSHIRIKI MAADHIMISHO MIAKA 80 YA HOSPITALI, AMSHUKURU RAIS SAMIA.

    May 13, 2025
  • View All

Video

Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Mhe. Adam Kighoma Malima akikagua ujenzi wa jengo la ofisi mpya ya Mkuu wa Mkoa.
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Maelezo ya Mkoa
  • Tangazo la Zabuni
  • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
  • Hotuba
  • Taarifa kwa Umma

Kurasa Mashuhuri

  • Tovuti ya Tanzania
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • TAMISEMI
  • Ikulu
  • Katibu Mkuu Kiongozi
  • Tovuti ya Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Morogoro

    Sanduku la Posta: S.L.P 650 MOROGORO

    Simu: +2550232934305

    Simu: +255766828252

    Barua pepe: ras.morogoro@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2024 Ofisi Ya Mkuu wa Mkoa Morogoro. Haki Zote Zimehifadhiwa.