Posted on: December 26th, 2020
Wananchi Mkoani Morogoro wameiomba Serikali kusogeza huduma ya wataalamu wa sheria karibu yao ili kuwasaidia katika kuwafikia na kupata ushauri wa kisheria kwa kuwa wanasheria hao kwa sasa wako nao na...
Posted on: December 22nd, 2020
Wananchi wa Vijiji vya Ngaite na Tindiga Wilayani Kilosa ambako kuna mgogoro baina ya Jamii ya Wakulima na Wafugaji kugombania ardhi Block Na. 422 iliyoko ndani ya Lanch ya NARCO Mkoani humo,...
Posted on: December 23rd, 2020
Kwa mara nyingine tena Bondia Twaha Ramadhan maarufu kama Twaha kiduku amekabidhiwa Bendera ya taifa kwa ajili ya kuuwakilisha Mkoa na Taifa kwa ujumla kushiriki pambano la masumbwi linalotarajiwa kuf...