Posted on: January 27th, 2023
Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Mhe. Fatma Abubakar Mwassa amewaapisha Wakuu wa Wilaya za Kilosa na Morogoro walioteuliwa hivi karibuni na Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzani...
Posted on: January 26th, 2023
Bodi ya Wakala ya Nishati ya umeme Vijijini (REA) imepanga kumchukulia hatua kwa kumsimamisha kazi Mkandarasi wa Kampuni ya HNXJDL kutoka nchini China kwa kushindwa kukamilisha mradi wa kuunganisha um...
Posted on: January 25th, 2023
Mkoa wa Morogoro umedhamiria kuwachukulia hatua kali za kinidhamu watendaji wote wa Serikali watakaojihusisha na uuzaji wa Ardhi bila kufuata taratibu, kanuni, miongozo na sheria za nchi lengo likiwa ...